Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Umegeuka?Chadema ni chama cha siasa.. chadema sio brach ya ccm kama vilivyo vyama vingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umegeuka?Chadema ni chama cha siasa.. chadema sio brach ya ccm kama vilivyo vyama vingine.
Naona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Ni jambo jema!
Hii ni awamu ya 6
Yule RC wa Mtwara hakumtendea haki rafiki yangu wakili Mmanda aliyekuwa DC kwa kumzika kule maporini.
Kiherehere kiwapate nyie!Leo. Mepigwa za uso
are you sure? speculations....Walishtaki kesi za Rushwa kama uhujumu uchumi na utakatishaji wa pesa kinyume na Sheria , kesi ya rushwa inakua uhujumu uchumi
Hahahaahaa sasa pale Bungeni Spika agwe na Katibu wa Bunge huyu mama Nenelwa Agwe naeAgwe na elimu wapi na wapi, waache wagogo waendelee kuomba gwala
Mtaka kahamishwa DodomaAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Sky ebu nipe maon yako. Huyu Hapi na madhambi yote bado yumo. Samia nimeanza kumchukia sasaKiherehere kiwapate nyie!
Concentration of mind in a limited area.Why Mbowe every time.Safiii, mbona jina la Mbowe na zitto sijaona? Na makada wengine wa cdm? Huhuhu
Duh...Tabora ni mkoa wa kihistoriaTabora njaa.. labda atakula tumbaku.
Ndo hapo Nashangaa mama Mgwira anastaafu halafu Mahenge anapeta yule babu???Ina maana wengine wana umri mdogo kumzidi. Sema ameamua kumtupa kando labda kuna jmbo hawakuelewana
Huyu ametumika sana na jiwe kwenye makando kando , hakuwa huruNaona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Sio kweli,Anakuja Dar
Kitendo cha happi na chalamila kuwa bado ulingoni, kanitibua huyu Mother Theresa hadi bas khaaaaaah.Sky ebu nipe maon yako. Huyu Hapi na madhambi yote bado yumo. Samia nimeanza kumchukia sasa
Mbuge kawa mkuu wa mkoaNaona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Wasubiri mkeka wa Ma-Ras au Ma-Dc kama si ma-Das !Safiii, mbona jina la Mbowe na zitto sijaona? Na makada wengine wa cdm? Huhuhu