Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

MWANZA poleni sana bakoraa zinakujaaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] KAFULILAA hatimae kaulambaaa… Jamani Sukuma ndani ndo kusema hawezi kazi au[emoji24][emoji24] BASHITE aendelee kujiajiriii.. Pongezi kwa kukumbuka familia ya NYERERE... Ila ALLY HAPPY ana bahati ya mtendee.
Bakora ataishia kupiga wanafunzi wa Boarding tu, mbaya zaidi Mean Shule zote kwasasa sio wakorofi, Sukuma ndani keshasfaafu kitambo tu kwa mujibu wa sheria
 
Utawala wa Mama tunademka kwa zamu, ukidemka leo usidemke sana, kesho anaweza kukuchania mkeka. Kigogo na ufukunyuku wake wote kashindwa kubashiri hata teuzi moja ya Mother! Itakuwa majina anayavaa kwenye kipochi na anatembea nayo kila anapoenda.
Mama katika hili hatari kapanda ndege jana mpole anasema naenda kula Eid kumbe majina yako kwenye kipochi, serikali ndio inatakiwa hivi kazungukwa na watu wanajuwa kutunza siri kule Kigogo kahamia kwenye mipasho siku hizi kama kama sisi tu mtabiri, bora hata mimi nilihisi Mtaka atapewa Dodoma sio kwa kuambiwa ni hisia zangu tu.
 
Amos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.


Karibu Dar mh Makalla
Mtaka ni RC makao makuu Dodoma. Mzee Mahenge amepelekwa Singida, Mzee Makongoro Nyerere yumo wakati huo huo tumeambiwa Eng. Ndikilo ni mzee, umri umepitia na amestaafu. Umri wa Makongoro na Mahenge ni mdogo kuliko Ndikilo?
 
Sky ebu nipe maon yako. Huyu Hapi na madhambi yote bado yumo. Samia nimeanza kumchukia sasa
Utamchukia sana!

Na utakufa wakati si wako sababu ya juwachukua waliokuzidi kipato
 
Pilau la Iddi El adha kabla halijakaa vizuri tumboni Mama Mh Rais SSH kafanya yake. Naona Kakoko kaondoka na MG.
 
Hapa kwa Meja Jenerali Mbuge mbona kama kafanyiwa demotion, hakika JWTZ kuna kulikuwa na vita ya chini kwa chini kwa Mbuge...
 
Blasius Byakanwa anaenda kuungana na mwenzake Sabaya, wote walihusika na kumtesa mbowe kwa kuharibu miundombinu ya uwekezaji wake
 
Back
Top Bottom