Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Mtaka kaenda DomAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaka kaenda DomAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Lako umeliona?Safiii, mbona jina la Mbowe na zitto sijaona? Na makada wengine wa cdm? Huhuhu
Hutu anarudi briged ya chuo cha maafisa pale ununio.Naona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Bakora ataishia kupiga wanafunzi wa Boarding tu, mbaya zaidi Mean Shule zote kwasasa sio wakorofi, Sukuma ndani keshasfaafu kitambo tu kwa mujibu wa sheriaMWANZA poleni sana bakoraa zinakujaaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] KAFULILAA hatimae kaulambaaa… Jamani Sukuma ndani ndo kusema hawezi kazi au[emoji24][emoji24] BASHITE aendelee kujiajiriii.. Pongezi kwa kukumbuka familia ya NYERERE... Ila ALLY HAPPY ana bahati ya mtendee.
Kwahiyo sabaya pale Hai ndio aliweza kupambana na wapinzani,si ndio maanake ?Exactly Magufuli alikuwa anaweka watu kwa sababu wanayajua hayo maeneo au kwenda kutatua changamoto sugu kutokana na skills zao.
Umesahau na Lemutuz tycoon wa media nae agweHahahaahaa sasa pale Bungeni Spika agwe na Katibu wa Bunge huyu mama Nenelwa Agwe naeView attachment 1785914
Mama katika hili hatari kapanda ndege jana mpole anasema naenda kula Eid kumbe majina yako kwenye kipochi, serikali ndio inatakiwa hivi kazungukwa na watu wanajuwa kutunza siri kule Kigogo kahamia kwenye mipasho siku hizi kama kama sisi tu mtabiri, bora hata mimi nilihisi Mtaka atapewa Dodoma sio kwa kuambiwa ni hisia zangu tu.Utawala wa Mama tunademka kwa zamu, ukidemka leo usidemke sana, kesho anaweza kukuchania mkeka. Kigogo na ufukunyuku wake wote kashindwa kubashiri hata teuzi moja ya Mother! Itakuwa majina anayavaa kwenye kipochi na anatembea nayo kila anapoenda.
Mtaka ni RC makao makuu Dodoma. Mzee Mahenge amepelekwa Singida, Mzee Makongoro Nyerere yumo wakati huo huo tumeambiwa Eng. Ndikilo ni mzee, umri umepitia na amestaafu. Umri wa Makongoro na Mahenge ni mdogo kuliko Ndikilo?Amos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Alikuwa mamluki wa wazi kwenye uchaguzi uliopita , kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kushangazwa na uteuzi wake , kwanza umechelewa sanaHuyu anastahili View attachment 1785857
Queen Sendiga wa ADC ndani,ni wapinzani wenye akili sio kila mpinzani wengine hawana umakini
Utamchukia sana!Sky ebu nipe maon yako. Huyu Hapi na madhambi yote bado yumo. Samia nimeanza kumchukia sasa
Mbona siwaoni!Tupo
nimeanza kuwa na mashaka naye. Huyu mama hafai , nasema huko mbele tutakuja juta sana. amenitibua na swumu yangu ya sita kaiua kabisaKitendo cha happi na chalamila kuwa bado ulingoni, kanitibua huyu Mother Theresa hadi bas khaaaaaah.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Vipi mataga wamekomeshwa?Huyu ametumika sana na jiwe kwenye makando kando , hakuwa huru
Achana na huyo mbwiga etiiiIla hakuna chochote walichofanya zaidi ya kupambana na wapinzani.
Mtaka wa 1Amos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla