Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Natamani kujua kwanini mkoa wa Kagera wakuu wa mkoa huo mara nyingi wanapelekwa wanajeshi?
Wanyarwanda Ngara na Biharamuro waliifanya mali yao zama za JK. Kila siku walikuwa wanauwa watanzania huko na kuingiza mifugo kama kwao.

Magufuli akapiga stop huo upuuzi, watanzania tunasahau haraka sana changamoto zilizokuwa za kawaida katika baadhi ya maeneo kabla ya Magufuli.
 
Salaam Wakuu, Huu ndo uteuzi rais kafanya.

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Bw. Mwakitalu kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP), Hamduni Mkuu wa TAKUKURU, Amos Makala kawa mkuu wa Mkoa wa Dar, Kafulila kawa mkuu wa Mkoa Arusha, Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Queen Sendiga kawa mkuu wa Mkoa Iringa(Queen alikuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Uchaguzi wa Oktoba 2020), Makongoro Nyerere kawa mkuu wa Mkoa Manyara.

Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza(Albert Chalamila alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya), Kunenge kawa mkuu wa Mkoa wa Pwani( Aboubakar Kunenge alikuwa Mmkuu wa Mkoa wa Dar), Kagaigai kawa mkuu wa Mkoa KIlimanjaro(Stephen Kagaigai alikuwa Katibu wa Bunge), Ali Hapi kawa mkuu wa Mkoa Tabora(Hapi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa). Anna Mngwira amesitaafu alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali John Mbungo atapangiwa kazi nyingine.

View attachment 1785850
View attachment 1785846
View attachment 1785849
mkurugenzi wa mawasiliano ikulu kaenda tofaut UDART sio wakala wa mabasi yaendayo haraka UDART ni kampuni ya mabasi tena private wakala ni DART na mkurugenzi wake ni lwakatale sasa uyo wa udart kama ni private atapigwaje chini

hapa serikali imeingia chaka wakuu
 
kwa hiyo viongozi wawe wa kudumu. Maana kutekeleza plans zako it takes years n years. Haipaswi iwe mtu anatekeleza hili na lile. Yapaswa system ndio iwekwe na ifuatwe ktk kutekeleza mopango ili mtu akifa afilie zake hatta wewe ukimrithi utaendeleza.
Hakuna sababu ya kubadili badili watendaji
 
Mama katika hili hatari kapanda ndege jana mpole anasema naenda kula Eid kumbe majina yako kwenye kipochi, serikali ndio inatakiwa hivi kazungukwa na watu wanajuwa kutunza siri kule Kigogo kahamia kwenye mipasho siku hizi kama kama sisi tu mtabiri, bora hata mimi nilihisi Mtaka atapewa Dodoma sio kwa kuambiwa ni hisia zangu tu.
Kigogo hata hajulikani anaongea nini, mother kabana balaa, tatizo Magu alikuwa hana siri na mropokaji, wengine aliyekuwa anawapa hizo siri hawakuwa watu wazuri kwake. Kigogo sasa anapambana na Biswalo baada ya kushindwa vita na Dk. Mpango.
 
Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.

Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?

Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Hatutaki plan zake tunataka kipaombele cha nchi na wananchi ni nini!Wameapa watafanya kazi popote na walisaini.
 
Amos Makala alikuwa bench sio,
kitabo alikuwa Rukwa.
safi sana sasa apige kazi kweli kweli.

Mkoa wa Dar unataka mtu makini sana na mfuatiliaji, bila kusahau ukali ni muhimu inapo bidi.
nginja ngija......
 
Back
Top Bottom