Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Hahaha chadema mnachekesha sanaSky ebu nipe maon yako. Huyu Hapi na madhambi yote bado yumo. Samia nimeanza kumchukia sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha chadema mnachekesha sanaSky ebu nipe maon yako. Huyu Hapi na madhambi yote bado yumo. Samia nimeanza kumchukia sasa
tutayajua huko mbele. definitely hawawezi kukubaliLabda wamekataaaa c unajua hawakubaliani na serekali hiiii wanaaamini uchaguzi haukua wa haki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtakoma mwaka huu!Bado wanalia lia tu , umesikia kuna taga hata moja humo ? Mzee Mwanakijiji au Pascal Mayalla au le mutuz ?
Wanyarwanda Ngara na Biharamuro waliifanya mali yao zama za JK. Kila siku walikuwa wanauwa watanzania huko na kuingiza mifugo kama kwao.Natamani kujua kwanini mkoa wa Kagera wakuu wa mkoa huo mara nyingi wanapelekwa wanajeshi?
nani ni chadema? angalia facts not identityHahaha chadema mnachekesha sana
AmestaafuMgwira???
mkurugenzi wa mawasiliano ikulu kaenda tofaut UDART sio wakala wa mabasi yaendayo haraka UDART ni kampuni ya mabasi tena private wakala ni DART na mkurugenzi wake ni lwakatale sasa uyo wa udart kama ni private atapigwaje chiniSalaam Wakuu, Huu ndo uteuzi rais kafanya.
Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Bw. Mwakitalu kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP), Hamduni Mkuu wa TAKUKURU, Amos Makala kawa mkuu wa Mkoa wa Dar, Kafulila kawa mkuu wa Mkoa Arusha, Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Queen Sendiga kawa mkuu wa Mkoa Iringa(Queen alikuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Uchaguzi wa Oktoba 2020), Makongoro Nyerere kawa mkuu wa Mkoa Manyara.
Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza(Albert Chalamila alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya), Kunenge kawa mkuu wa Mkoa wa Pwani( Aboubakar Kunenge alikuwa Mmkuu wa Mkoa wa Dar), Kagaigai kawa mkuu wa Mkoa KIlimanjaro(Stephen Kagaigai alikuwa Katibu wa Bunge), Ali Hapi kawa mkuu wa Mkoa Tabora(Hapi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa). Anna Mngwira amesitaafu alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali John Mbungo atapangiwa kazi nyingine.
View attachment 1785850
View attachment 1785846
View attachment 1785849
Kwini kadhibert sendiga, mgombea urais huyuSafiii, mbona jina la Mbowe na zitto sijaona? Na makada wengine wa cdm? Huhuhu
Hakuna sababu ya kubadili badili watendajikwa hiyo viongozi wawe wa kudumu. Maana kutekeleza plans zako it takes years n years. Haipaswi iwe mtu anatekeleza hili na lile. Yapaswa system ndio iwekwe na ifuatwe ktk kutekeleza mopango ili mtu akifa afilie zake hatta wewe ukimrithi utaendeleza.
Mbona kamteua Queen Sendinga.Alisema atateua mpaka Wapinzani, Kulikoni ¿
Hao wanaonyeshwa mlango wa kutokea tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtakoma mwaka huu!
Si jana tu mlikuwa mnajivaragua mnampangia nani wa kumtoa?
Hahahaha nasikia walishamfukua na kwenda kumzika upya huko kwao.Ni jambo jema!
Hii ni awamu ya 6
Yule RC wa Mtwara hakumtendea haki rafiki yangu wakili Mmanda aliyekuwa DC kwa kumzika kule maporini.
Kigogo hata hajulikani anaongea nini, mother kabana balaa, tatizo Magu alikuwa hana siri na mropokaji, wengine aliyekuwa anawapa hizo siri hawakuwa watu wazuri kwake. Kigogo sasa anapambana na Biswalo baada ya kushindwa vita na Dk. Mpango.Mama katika hili hatari kapanda ndege jana mpole anasema naenda kula Eid kumbe majina yako kwenye kipochi, serikali ndio inatakiwa hivi kazungukwa na watu wanajuwa kutunza siri kule Kigogo kahamia kwenye mipasho siku hizi kama kama sisi tu mtabiri, bora hata mimi nilihisi Mtaka atapewa Dodoma sio kwa kuambiwa ni hisia zangu tu.
Hatutaki plan zake tunataka kipaombele cha nchi na wananchi ni nini!Wameapa watafanya kazi popote na walisaini.Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Sisi ni watu wa Maka mu na wako wengi humu kifupi kikosi alichokitaja mkuu Phillipo Bukililo sisi tuliokuwepo wakati huo tulishuhudia hizo burudaniMkuu wewe ni Muhenga!! Kumbe tunatukanana na baba zetu humu bila kujua, kuanzia leo nitakuheshimu sana.
Hahaha, miaka hiyo wengine tunazaliwa. Ila na nyie mpunguze kuporomosha mitusi humu, unajua ukiporomosha matusi hata ukiwa mtu mzima watu wanakuchukulia poa.Sisi ni watu wa Maka mu na wako wengi humu kifupi kikosi alichokitaja mkuu Phillipo Bukililo sisi tuliokuwepo wakati huo tulishuhudia hizo burudani