Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Wanyarwanda Ngara na Biharamuro waliifanya mali yao zama za JK. Kila siku walikuwa wanauwa watanzania huko na kuingiza mifugo kama kwao.

Magufuli akapiga stop huo upuuzi, watanzania tunasahau haraka sana changamoto zilizokuwa za kawaida katika baadhi ya maeneo kabla ya Magufuli.
Ndugu zetu walifanyiwa sana mambo ya kishenzi alipoingia Hayati wale jamaa wakatia akili.
 
Hivi kisheria si kuna kustaafu Kwa hiyari @55 na kustaafu Kwa lazima @65?
 
Rais ameniudhi kumtoa Chalamila Mbeya na kumleta huyo jamaa wa kutoka Katavi,ni mtu dhaifu kaukabiliana na watu jeuri kama wa Mbeya
 
Huyu aendelee kuwatukana wastaafu. Samia nimeanza kuwa na mashaka naye. Huyu kumbe bure, tumeliwa kabisa
tulizeni viuno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

bado tunamchunguza sabaya tutawapa majibu mfurahi.[emoji23][emoji23]
 
Hapi kupelekwa Tabora hiyo yellow card ana mdomo mchafu mabega yalianza kidogo kupanda ila bado mdogo ana nafasi ya kujifunza maana hujui kesho ikoje hasa katika nafasi za uteuzi na siasa kwa ujumla.
Kwani mkoa wa Iringa alikotokea una thamani gani kuuzidi mkoa wa Tabora kiasi mpaka unahisi amepewa yellow card?
Vinginevyo huyu Ali Hapi ana dosari gani zinazomuondolea sifa?
 
Kwani mkoa wa Iringa alikotokea una thamani gani kuuzidi mkoa wa Tabora kiasi mpaka unahisi amepewa yellow card?
Vinginevyo huyu Ali Hapi ana dosari gani zinazomuondolea sifa?
Mkoa wa Iringa ni moja ya mikoa mikubwa katika kilimo wazalishaji wakubwa tu, Huyu kijana kuna kipindi kauli zake za kibabe kufokea watu wewe mtumishi wa watu tatua shida za watu mbona mama kimya kimya tu lakini shughuli yake unaiona.
 
Kuna watu wamekaririshwa chuki unasema Chalamila na Hapi hawafai sababu ipi hujielezi.
 
Mama ukitaka kusafisha upande wa hizi halmashauri(Wilaya) usimuache yule Mtukanaji wananchi pale Iringa.. Yule kaselele hafai mama amekaa kijeurijeuri tu
 
Kwa kweli nasema ukweli kabisa kama kungekuwa na bet ningewin maana nilimtabiria kabisa anapelekwa makao makuu kabisa yaani kuona jina lake ni kama niemeshinda bahati nasibu.
Mtaka bado ameachwa chini, alitakiwa apandishwe cheo.
Mtaka anatakiwa apewe nafasi ya kitaifa.
Nafasi kama katibu mkuu wizara ya Tamisemi au Ofisi ya Waziri mkuu
Ila pamoja na mazuri yao, huenda wana mapungufu ambayo hatuyajui.
 
Back
Top Bottom