Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo ayo sio mabadiliko dadaCcm Ni ile ile mliotegemea mabadiliko lazima mtakuwa mmeumia.
Mtaka kapewa Dodoma na hiyo ni heshima ni mji mkuu na kuna projects nyingi sana zinaendelea makao makuu kwa hiyo ni upgrade kwake.Mtaka bado ameachwa chini, alitakiwa apandishwe cheo.
Mtaka anatakiwa apewe nafasi ya kitaifa.
Nafasi kama katibu mkuu wizara ya Tamisemi au Ofisi ya Waziri mkuu
Ila pamoja na mazuri yao, huenda wana mapungufu ambayo hatuyajui.
Nimestaajabu kwakweli...jiwe alijitahidi kubalance[emoji848]Hawapo bado ni mfumo dume mbele kwa mbele, “Wanawake HAWAPENDANI”
Magufuli si alikuwa na roho mbaya, mzee alikuwa nuksi kweli yule,Napongeza kuteuliwa kwa Joseph Sokoine kuwa katibu mkuu mambo ya nje ambaye aliwahi kuwan balozi wa Tanzania EU, Belgium na kutenguliwa na marehemu mwendazake aliyedhani ataishi milele kwa sababu alikwenda kumtembelea Lissu hospitalini Ubelgiji
Hiyo ndiyo mitaa ya kwao, mitaa aliyokuwa anaishi mzee wake. Baba wa Taifa.Makongoro nilimuona sana pale May fair kawe miaka ya nyuma.
Ni mwanachama wa miaka mingi wa “vyombo”.
Nimestaajabu kwakweli...jiwe alijitahidi kubalance[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mtaka yumo DomAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Afadhali kwa Takukuru, sasa Hamduni akapambane na Rushwa ndani ya taasisi na nje ya taasisi hivyo kutenda haki kama jumuiya ya watanzania inavyotakaSalaam Wakuu, Huu ndo uteuzi rais kafanya.
Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Bw. Mwakitalu kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP), Hamduni Mkuu wa TAKUKURU, Amos Makala kawa mkuu wa Mkoa wa Dar, Kafulila kawa mkuu wa Mkoa Arusha, Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Queen Sendiga kawa mkuu wa Mkoa Iringa(Queen alikuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Uchaguzi wa Oktoba 2020), Makongoro Nyerere kawa mkuu wa Mkoa Manyara.
Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza(Albert Chalamila alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya), Kunenge kawa mkuu wa Mkoa wa Pwani( Aboubakar Kunenge alikuwa Mmkuu wa Mkoa wa Dar), Kagaigai kawa mkuu wa Mkoa KIlimanjaro(Stephen Kagaigai alikuwa Katibu wa Bunge), Ali Hapi kawa mkuu wa Mkoa Tabora(Hapi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa). Anna Mngwira amesitaafu alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali John Mbungo atapangiwa kazi nyingine.
View attachment 1785850
View attachment 1785846
View attachment 1785849
Hamduni mstaarabu mnoChalamila yuko pale pale kama mkuu wa mkoa. Kelele za kina Maria Sarungi hazijasikilizwa.
Hamduni afanye kazi kitaalam, aachane na vitisho vya magwanda ya kijeshi kama ya aliemtangulia. Akumbuke PCCB ni law enforcement agency or investigative services hivyo afanye kazi kitaalam.
DodomaAnakuja Dar
Baada ya muda mrefu Dar inarudishwa kwa watoto wa mjini.Huyu namsikia bendi kadhaa za muziki wakimtaja 'Papaa Amos Makala' kweli Dar es Salaam itachemka kwa maraha baada ya miaka mitano ya utawala wa mwendazake pamoja na Makonda kuua starehe za muziki jijini Dar.
Baada ya kazi sasa watu wataweza kula bata na ndivyo inavyoonekana ni desturi ya wana Dar toka enzi za Mwalimu Nyerere, historia inatuonesha / inathibitisha tukiiomba Google itupatie idadi za bendi za muziki na 'maukumbi' ya starehe ktk jiji la Dar na miji mingine kote Tanzania.
Makala ni hewa tuDar ni Amosi Makalla
Katibu wa Bunge ni nafasi ya kitaifa, mkuu wa mkoa kwa huo mkoa tu.Jaman naomba kuuliza ivi katibu wa bunge kuteuliwa mkuu wa mkoa Kilimanjaro ni promotion au demotion?
Chalamila ni intateina tuMwaka huu mtajinyonga.
Ukiwauliza watu Chalamila kosa lake ni nini hawana majibu ila wanataka tu atoke, chuki binafsi.
Uyo magufuli wenu kashaozeana chini ya ardhi nyie misukule wakeExactly ndio maana Magufuli alikuwa kama mtu hafai anatimua tu lakini abadili watu ovyo ovyo.
Makongoro ni fadhila tuDuuh! Happy na Chalamila bado wamo! Makala karudi kundini, Makongoro naye yumo! Kazi iendelee.....
Baada ya muda mrefu Dar inarudishwa kwa watoto wa mjini.
Ingawa Makalla amezaliwa Morogoro, lakini ni mwana Dar anayejua mila na tamaduni za Dar.
Kuna wapuuzi hapa watakupingaMama ilimradi tu afanye lolote aongolewe kwa miaka watu walikuwa wanalalama kubadilisha badilisha wakuu wa mikoa na wilaya kunaondoa consistencies ndio maana Magufuli aliwaacha.
Hao watu kwa muda waliokaa wanafahamu changamoto za maeneo yao, plan zilizokuwepo na changamoto za watendaji wao.
Kingine Magufuli for once alijitahidi kuweka wakuu wa mikoa kutokana na maeneo wanayoyafahamu au skills zao ili watatue changamoto kutokana priority wanazozifahamu wao.