Rais Samia afanya ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji, ahimiza kutumia fursa za kibiashara zilizopo katika nchi hizo mbili

Tozo zimepunguzwa na zingine kuondolewa lengo la kuondoa tozo ni kumuinua mtanzania na sio kumdidimiza na Rais Samia Suluhu kupitia hizi ziara zake anakuza diplomasia ya uchumi
Hebu nenda uko bana na diplomasia zako msitufanye wajinga hapa.!!

Kwani hizo tozo aliweka nani??
Alafu Leo uje uzitoe sijui kupunguza tuanze kukusifu??
Wakati anaweka tozo hakujua hali za watu wake??

Hizo siasa zenu msizilete kwenye mambo ya msingi ya maisha ya watu.

Unga kilo 2200 huku alafu mnaleta hadithi za diplomasia.!!!?
 
Kwani ushirikiano ulikuwa haupo?

Wales to Maputo flying across the spheres........more trips are still loading at the citizens' expense
 
Safari hii imeshindikana kupata mabilioni ya kutembeza bakuli kwa malkia, imebidi mje na gia hiyo mkiwa busy kuchoma tozo kuzurula sio!
 
πŸ™ƒπŸ™‚πŸ˜πŸ€¨πŸ˜‘πŸ˜ΆπŸ™„πŸ€”πŸ€«
 
Kwani amesharudi Bongo, au ndiyo amepitiliza kwenda huko Msumbiji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…