Hebu nenda uko bana na diplomasia zako msitufanye wajinga hapa.!!Tozo zimepunguzwa na zingine kuondolewa lengo la kuondoa tozo ni kumuinua mtanzania na sio kumdidimiza na Rais Samia Suluhu kupitia hizi ziara zake anakuza diplomasia ya uchumi
Unasababishwa na watu wasiojali Kodi zetu.Msafara 'mkubwa' unasababishwa na nini!?
Nilidhani unajua kwa nini msafara mrefu!..hujui Kisha walaumuUnasababishwa na watu wasiojali Kodi zetu.
Ushapata ulaji wako walokubania awamu ya tano?Diplomasia ndugu, au mnataka Samia ajifungie kama yule Mchawi?
75% ya magaidi wa msumbiji ni watanzania!Hivyo unamaanisha haukuwa na ushirikiano kwenye nyanja za ulinzi ama...!!?
Jikite kwenye hoja.Ushapata ulaji wako walokubania awamu ya tano?
Kwani ushirikiano ulikuwa haupo?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji leo tarehe 21 Septemba, 2022.
Rais Samia ametaka ushirikiano wa ulinzi baina ya nchi hizi mbili hasa ule wa mipaka ulio anzishwa tangu miaka ya 1980 uendelezwe hasa kwenye kipindi hiki muhimu cha kupambana na ugaidi.
Amegusia pia jitihada za kuongeza ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Msumbiji, pia namna bora ya kutumia fursa za kibiashara zilizopo baina ya nchi hizi mbili.
Upande wa elimu wameafikiana kubadilishana wanafunzi, aidha lugha ya kiswahili kwa sasa itapewa kipaumbele nchini Msumbiji.
Kupitia safari hii, Rais Samia anaamini ukurasa mpya wa ushirikiano mwema kati ya Msumbiji na Tanzania utafunguka.
Kitu cha ajabu sana. Tumeikomboa Msumbiji na ikafikia tukawa na medali za Msumbiji halafu leo ndipo tunatia saini makubaliano ya kushirikiana kiulinzi?Hivyo unamaanisha haukuwa na ushirikiano kwenye nyanja za ulinzi ama...!!?
Shida nini mkuuKitu cha ajabu sana. Tumeikomboa Msumbiji na ikafikia tukawa na medali za Msumbiji halafu leo ndipo tunatia saini makubaliano ya kushirikiana kiulinzi?
MmmhNilivyoona taarifa ikulu nikajua BASI LA KIMBINYIKO limetuamulia utata wa uhai wa kibibi hiki
Utakufa na chuki zakoNilivyoona taarifa ikulu nikajua BASI LA KIMBINYIKO limetuamulia utata wa uhai wa kibibi hiki
Ataanza kufa bi mkubwa wako yule muuza vitumbuaNilivyoona taarifa ikulu nikajua BASI LA KIMBINYIKO limetuamulia utata wa uhai wa kibibi hiki