Mbeba Maono1
Senior Member
- Oct 16, 2022
- 165
- 473
Ajiandae kushangaa 2025.Ujui ya yajayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajiandae kushangaa 2025.Ujui ya yajayo
Hata aibe kura ila si YEYE 2025 na kuendelea.Anafanyiwa Ibada nzito ili iweje wakati kapanga kuiba Kura?!
Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mpaka 2030.Hata aibe kura ila si YEYE 2025 na kuendelea.
Kama una ugonjwa wa pressure, andaa makopo ya kutosha kuanzia 2025.Ni Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mpaka 2030.
FaizaFoxy na Malaria 2Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania amefanyiwa ibada Maalumu nzito sana VATICAN. Ibada ambayo imefanywa na kuongozwa na jumuiya ya watanzania wakatoliki walioko huko VATICAN. Ambapo ni ibada maalumu ya kufunga mwaka wa masomo VATICAN.
Jumuiya hiyo ya kikatoliki inaundwa na Watumishi wa Mungu wapatao 302, Wakiwemo Mapadre,Mashemasi,Watawa na Mafrateri. Ambao wanapata Elimu katika vyuo vikuu vya VATICAN.
Ibada hiyo maalumu iliambatana na hafla ya kuwaaga na kuwakaribisha wanafunzi wengine kutoka Tanzania. Ibada hiyo pia ilihudhuriwa na Mheshimiwa Hassan Iddi Mwamweta ambaye ni mlezi wa jumuiya hiyo na mwenye makazi yake Nchini Ujerumani.
Pia alikuwepo Balozi Mahmoud Kombo Balozi wa Tanzania Nchini Italia. Itakumbukwa pia ya kuwa mnamo Tarehe 12-2-2024 Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alipofanya ziara ya kikazi kwa mualiko maalum wa papa Fransis VATICAN aliweza kuonana na jumuiya hii na Diaspora wengine na kufanya nao mazungumzo.
Kilichopatikana kwa Maombi hulindwa kwa Maombi. Kilichoinuliwa na Mungu ni lazima kiombewe nguvu ya ulinzi kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe aliyemuinua kwa mkono wake .ndio maana watu wanaendelea kumuombea dua njema ndani na nje ya nchi.kwa kuwa wanaona kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu mpendwa kwa uzalendo na hofu ya Mungu ndani yake. Ndio maana amekuwa kipenzi cha viongozi mbalimbali wa Dini na madhehebu yote hapa Nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Itakuwa wapo kwenye parade ya yanga.
Leo umesahau kuweka namba ysko ya simuNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania amefanyiwa ibada Maalumu nzito sana VATICAN. Ibada ambayo imefanywa na kuongozwa na jumuiya ya watanzania wakatoliki walioko huko VATICAN. Ambapo ni ibada maalumu ya kufunga mwaka wa masomo VATICAN.
Jumuiya hiyo ya kikatoliki inaundwa na Watumishi wa Mungu wapatao 302, Wakiwemo Mapadre,Mashemasi,Watawa na Mafrateri. Ambao wanapata Elimu katika vyuo vikuu vya VATICAN.
Ibada hiyo maalumu iliambatana na hafla ya kuwaaga na kuwakaribisha wanafunzi wengine kutoka Tanzania. Ibada hiyo pia ilihudhuriwa na Mheshimiwa Hassan Iddi Mwamweta ambaye ni mlezi wa jumuiya hiyo na mwenye makazi yake Nchini Ujerumani.
Pia alikuwepo Balozi Mahmoud Kombo Balozi wa Tanzania Nchini Italia. Itakumbukwa pia ya kuwa mnamo Tarehe 12-2-2024 Rais wetu mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alipofanya ziara ya kikazi kwa mualiko maalum wa papa Fransis VATICAN aliweza kuonana na jumuiya hii na Diaspora wengine na kufanya nao mazungumzo.
Kilichopatikana kwa Maombi hulindwa kwa Maombi. Kilichoinuliwa na Mungu ni lazima kiombewe nguvu ya ulinzi kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Mama Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe aliyemuinua kwa mkono wake .ndio maana watu wanaendelea kumuombea dua njema ndani na nje ya nchi.kwa kuwa wanaona kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu mpendwa kwa uzalendo na hofu ya Mungu ndani yake. Ndio maana amekuwa kipenzi cha viongozi mbalimbali wa Dini na madhehebu yote hapa Nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
BIG SHOW na THE BOSS
Fomu ni Moja tu ndani ya CCM kwa ajili ya Rais Samia .Kama una ugonjwa wa pressure, andaa makopo ya kutosha kuanzia 2025.
La sivyo jiandae kuwa chawa wa ...
Nimeacha nafasi ili uweke hata yako ndugu yangu.Leo umesahau kuweka namba ysko ya simu
Acha kumchafua na kuchafua taswira nzuri ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa,anayependwa na kukubalika na mamillioni ya watanzania ndani na nje ya Tanzania.Anafanyiwa Ibada nzito ili iweje wakati kapanga kuiba Kura?!
FReeminds huwezi kuwakuta wakipokea chorus za machawa, hiyo ni chawa mass choir, waache waimbe wafurahi,usiwaingilie.Wana comment chawa watupu..!!
Sasa anaombewa ili iweje?! Au ili aibe kura vizuri?!Hata aibe kura ila si YEYE 2025 na kuendelea.
Walikuwepo Hawa machawa?Wana comment chawa watupu..!!
Waulize waombeajiSasa anaombewa ili iweje?!
Hamna maombi yoyote Yale!Sasa anaombewa ili iweje?! Au ili aibe kura vizuri?!
Kaingia madarakani kwa wizi mkubwa wa kura.Waulize waombeaji
Endeleeni kupiga porojo zenu huku Mheshimiwa Rais Daktari Samia na CCM akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.Kaingia madarakani kwa wizi mkubwa wa kura.
Mkuu isome tena katiba....Naomba ieleweke, muhula alio Samia Suluhu siyo wa kwanza. Anamshikia mwendazake kama katiba inavyosema. Muhula wake utaanza 2025. Tukifuata katiba mama anaweza kuwa rais aliyekaa madarakani muda mrefu kwa Tanzania baada ya Nyerere. Haki huinua taifa. Nawasilisha.