Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

FaizaFoxy na Malaria 2
 
Leo umesahau kuweka namba ysko ya simu
 
Anafanyiwa Ibada nzito ili iweje wakati kapanga kuiba Kura?!
Acha kumchafua na kuchafua taswira nzuri ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa,anayependwa na kukubalika na mamillioni ya watanzania ndani na nje ya Tanzania.
 
Kaingia madarakani kwa wizi mkubwa wa kura.
Endeleeni kupiga porojo zenu huku Mheshimiwa Rais Daktari Samia na CCM akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.

Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuwapigia kura ya ndio CHADEMA chama cha kibabaishaji
 
Mkuu isome tena katiba....
Imezungumza kama Makamu atakuwa amerithi kiti kwa Raisi ambaye alitawala chini ya miaka mitatu ,ndiyo muhula hauto hesabika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…