Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

Kichekesho, Muislamu na Mkatoliki wapi na wapi?
 
Kinachoitwa uchaguzi uliofanyika 2020 ni uhayawani wa kiwango kikubwa mno ndiyo maana yule mhusika mkuu hakuchukua round akasukumiziwa kuzimu.
Jambo ambalo ningependa kusema ni kuwa suala la mtu kufa na kuishi lipo na linabakia mikononi mwa Mungu mwenyewe ,ambaye anafahamu njia ya kuondokea kila mmoja wetu hapa Duniani..
 
Samia ni Mkombozi wa taifa
 
Ndugu mwandishi. Nakujibu nikiwa mmojawapo wa washiriki wa Ibada hiyo. Unakosea haki wahusika unapotoa taarifa ya uwongo. Ibada iliyofanyika, ilikuwa na lengo moja tu, kuwaaga wahitimu. Kisha ndani yake, liliombewa Taifa, Rais na viongozi wake. Hakukuwa na Ibada nzito iliyoandaliwa kwa ajili ya kumwombea Rais. Mabalozi walishiriki kama viongozi walezi wa Jumuiya za Diaspora. Na kisha, hakuna hata mmoja wawanafunzi anayeishi Vatican, bali huishi Italy. Hakiki taarifa na kuripoti kilicho sahihi. Aliyekufikishia taarifa angeweza kukuunganisha na viongozi husika, kupata habari kamili. Habari hii itarushwa Radio Vatican Swahili, na Radio Maria Tanzania, na itakuwa na Vichwa vya habari tofauti na vyenu.
 
Kabisa,tuendelee kutangaza kazi za chama bila kuchoka,hongera kwako kaka.
Hilo ndio jambo kubwa sana kqetu sisi kuendelea bila kuchoka kutangaza kazi zinazofanywa na serikali ya Rais Samia. Ili kuondosha upotoshaji ambao umekuwa ukifanywa na wapinzani wachache kama wale wa CHADEMA waliofirisika kisera.
 
Acha kujichanganya ndugu yangu sasa hapo kipi nilichopotosha? Maana ningekuwa nimepotosha kama kusingekuwa na ibada hiyo wala maombezi kwa Mheshimiwa Rais.lakini wewe mwenyewe umekili kuwa ilikuwepo na Mheshimiwa Rais aliombewa. Sasa unakataa kipi na kuunga kipi.?Mbona habari na taarifa yangu ipo wazi na imenyooka kabisa? Au ilimradi tu upinge?
 
Hilo ndio jambo kubwa sana kqetu sisi kuendelea bila kuchoka kutangaza kazi zinazofanywa na serikali ya Rais Samia. Ili kuondosha upotoshaji ambao umekuwa ukifanywa na wapinzani wachache kama wale wa CHADEMA waliofirisika kisera.
Kabisa mkuu,na ukweli ni kuwa tumewazidi kwa hoja,usiku na mchana tuendelee kuutetea serikali yetu na chama chetu.
 
Yupo Vatican?
Soma tena habari ndugu yangu maana imenyooka .ok kwa kukusaidia tu ni kuwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hayupo VATICAN ,bali kule VATICAN yamefanyika au kumefanyika ibada maalum ya kumuombea.ambayo imefanywa na jumuiya ya wanafunzi wanaosoma katika vyuo vya VATICAN . ambapo ni katika tukio hilo kulifanyika hafla ya kuwaaga wanaomaliza masomo yao na kuwakaribisha wengine kutoka Tanzania.
 
Hakuna dhambi kubwa kama kuiba kura kwa hilo na waombezi wote moto unawangoja jumla. Hatuwahukumu lakini ndiyo ukweli. Duniani tunapita na madaraka tutayaacha
 
Hakuna dhambi kubwa kama kuiba kura kwa hilo na waombezi moto unawangoja jumla.
CCM ipo madarakani na itaendelea kusalia madarakani kwa muda mrefu sana kwa kadri ya uhai wa Taifa letu,kutokana na sera na ajenda zake zinazogusa maisha ya watu pamoja na kwenda na mahitaji ya watu na wakati. Ni upendo wa watu kwa CCM Ndio huiweka CCM Madarakani kwa kura zao za kishindoo za ndio.
 
Mama anatosha.
Atafanyiwa sana hizo,(mqpepo) hazina maana yoyote, umeishawahi kuona Biden, au Trump, anaenda kuombewa kanisani? Ila hutaona akialikwa white house kama Ruto, au siasa, za, CCM na uchaguzi, zikijadiliwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, Leo Al Jazeera katika inside story walikua wanajadili Uchaguzi unaokuja South Africa.
Sasa uchafu wa CCM hauwezi, kijadiliwa popote labda Lumumba,
Nikiwaza, Hapa kinana, au Makonda, au, Makala,waalikwe Al Jazeera wahojiwe kuhusu mafanikio ya CCM na nchi tangu Uhuru, upande wa pili Awepo Lisu, Mnyika, au Wenje! Tunajua ma CCM yatakimbia mkia yameweka katikati ya makalio!
 
Jambo ambalo ningependa kusema ni kuwa suala la mtu kufa na kuishi lipo na linabakia mikononi mwa Mungu mwenyewe ,ambaye anafahamu njia ya kuondokea kila mmoja wetu hapa Duniani..
Sizungumzii kufa kwani wote tutakufa nazungumzia hukumu. Ukitenda uovu ujue kuna hukumu,na uovu wako ukizidi hata siku zako za kuishi duniani zinakatishwa ili usiendelee kuumiza wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…