Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

Mkuu ka foto kanamisi. Katoliki ibaada huwa kawaida
 

Mkuu, kama hujui katiba inasemaje bora usingecomment.

Katiba iko wazi kwenye hili .... unless anataka kujiongezea muda.
 
Hata afanyiwe na huko Maka haisaidii kitu huku akiendelea kukoboa wake za watu
 
Lucas ni mpotoshaji sana sijui kwa nini moderators wanamfumbia macho
 
Mkuu, kama hujui katiba inasemaje bora usingecomment.

Katiba iko wazi kwenye hili .... unless anataka kujiongezea muda.
Itakuwa sijui... Hebu weka kipengele kinachosema Samia hawezi kuanza miaka yake 10 baada ya kumaliza hii 'deiwaka' ya mwendazake
 
Mkuu Simu yako iliibiwa,mbona huweki tena tukurushie hela ya bundle😀😀
 
Sisi wakatoliki tunaombeaga yeyote mwenye matatizo. Hatubagui.
 
Itakuwa wameona namna anavyopuyanga wakaamua wamuombee ili asiendelee kuharibu Nchi yetu.
 
Hivi hizi dua na Ibada zinakaa mahala pake bila kukiri imani ya muhusika??

Kubatizwa? Kusilimishwa? Nk

Au ni kuhudhuria bila kupokea? Utaratibu wa katoliki ni huu tunao uona Au una jambo ?

Hizi taratibu huwa ni kwa wasio viongozi pekee? Au ni kama makanisa ya ufufuo na uzima, ngurumo ya upako nk??
 
Vatican ni waabudu sanamu

Hayo maombi yanaenda kwa sanamu zao ila sio Mungu ninayemjua mimi anayekataza kuabudu sanamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…