benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Akizungumza jijini Arusha wakati akifungua Mkutano wa Faragha (Retreat) wa Mawaziri na Makatibu Wakuu uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa (AICC) jijini Arusha Rais wa Jamhuri ameeleza sababu za kufanya mabadiliko ya mara kwa mara ya viongozi licha ya yeye kutokupenda kufanya hivyo.
Rais Samia Suluhu amesema kuwa hapendi na anafahamu madhara ya kufanya mabadiliko ya mara kwa mara kwani kufanya hivyo kunawafanya viongozi wafanye kazi kwa hofu na kushindwa kuwa na mipango ya muda mrefu kwa kuhofia teuzi zao kutenguliwa
HATA HIVYO RAIS SAMIA AMESEMA INGAWA SIO LENGO LAKE KUBADILI VIONGOZI MARA KWA MARA KWANI INACHUKUA MUDA MREFU KUWAJENGA LAKINI analazimika kufanya hivyo ili kuepusha madhara zaidi serikalini na kwa wananchi.
Tazama video hapa chini:
Rais Samia Suluhu amesema kuwa hapendi na anafahamu madhara ya kufanya mabadiliko ya mara kwa mara kwani kufanya hivyo kunawafanya viongozi wafanye kazi kwa hofu na kushindwa kuwa na mipango ya muda mrefu kwa kuhofia teuzi zao kutenguliwa
HATA HIVYO RAIS SAMIA AMESEMA INGAWA SIO LENGO LAKE KUBADILI VIONGOZI MARA KWA MARA KWANI INACHUKUA MUDA MREFU KUWAJENGA LAKINI analazimika kufanya hivyo ili kuepusha madhara zaidi serikalini na kwa wananchi.
Tazama video hapa chini: