Rais Samia ahani msiba wa Lemutuz, afika kutoa pole kwa Waziri Mkuu Mstaafu Malecela

Rais Samia ahani msiba wa Lemutuz, afika kutoa pole kwa Waziri Mkuu Mstaafu Malecela

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemtembelea na kumfariji Waziri Mkuu mstaafu Mzee John Samwel Malecela kufuatia kifo cha mtoto wake Marehemu William Malecela (Lemutuz) kilichotokea hivi karibuni, alipofika nyumbani kwake mtaa wa Kilimani Mkoani Dodoma, tarehe 22 Mei, 2023.

1,.jpg
2,,,.jpg
 

Attachments

  • 3 (12).jpg
    3 (12).jpg
    784.2 KB · Views: 12
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemtembelea na kumfariji Waziri Mkuu mstaafu Mzee John Samwel Malecela kufuatia kifo cha mtoto wake Marehemu William Malecela (Lemutuz) kilichotokea hivi karibuni, alipofika nyumbani kwake mtaa wa Kilimani Mkoani Dodoma, tarehe 22 Mei, 2023.
Ni Jambo jema, ila asiushie tuu Kuhani msiba, bali asikilize wosia huu wa Le Mutuz Super Brand na kumuishi Wosia mzito wa William Malecela (Le Mutuz) kwa CCM, Wapinzani, Serikali na kwa JamiiForums uzingatiwe na kutekelezwa ili tuendelee kumuishi

P
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemtembelea na kumfariji Waziri Mkuu mstaafu Mzee John Samwel Malecela...
Yule DHALIMU wa Chato kama angekuwa hai asingekwenda kwa Malecela kuhani msiba. Naona aliichukia sana familia ya Malecela na wanae.

Kumbuka namna alivyomtumbua marehemu Mwele aliyekuwa DG wa NIMR. Pia akamstaafisha Jaji Mwendwa Malecela ambaye ni mgonjwa kabla ya umri wa kustaafu
 
Yule DHALIMU wa Chato kama angekuwa hai asingekwenda kwa Malecela kuhani msiba. Naona aliichukia sana familia ya Malecela na wanae. Kumbuka namna alivyomtumbua marehemu Mwele aliyekuwa DG wa NIMR. Pia akamstaafisha Jaji Mwendwa Malecela ambaye ni mgonjwa kabla ya umri wa kustaafu
Kuna Watu si tu ni Wapumbavu bali mnaugua hata na Ugonjwa wa Akili ( Uwendawazimu ) ila hamjijui tu.
 
Ni lazima popote aendapo awe na kiti kutoka ikulu?
Unataka ategemee Viti vyenu vyenye Sumu yawe mengine kama mlivyofanya kwa Wengine kwa kuwapa Mic zenye Kitu cha Kirusi (Russia) pale Morogoro na leo tunamlilia tu?

Naomba niishie hapa tafadhali na sihitaji Swali lolote ila amini Watu wote lakini siyo Watanzania.
 
Back
Top Bottom