YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Viti kama hivyo mawaziri wote wakuu wa sasa na wa zamani wanavyo hadi majumbani kwaoHuna macho?
Malecela waziri mkuu mstaafu anacho kaamua ampishe Raisi akalie
Pia kila mkoa kuna ikulu ndogo viti hivyo vipo sio kuwa husafiri navyo
Tatizo Chadema hamjui.mambo mengi ya nchi nfio maana sio.rahisi mkapewa nchi
Ikulu sio sehemu ya kufanyia mazoezi ya Uraisi kuwa utajulia hukohuko ukishapewa