Viti kama hivyo mawaziri wote wakuu wa sasa na wa zamani wanavyo hadi majumbani kwaoHuna macho?
Uliwahi kumsikia Tundu Lisu juu ya Huyu Jaji unayedai alistaafishwa.Yule DHALIMU wa Chato kama angekuwa hai asingekwenda kwa Malecela kuhani msiba. Naona aliichukia sana familia ya Malecela na wanae.
Kumbuka namna alivyomtumbua marehemu Mwele aliyekuwa DG wa NIMR. Pia akamstaafisha Jaji Mwendwa Malecela ambaye ni mgonjwa kabla ya umri wa kustaafu
Naona aibu kusoma utumbo huu, sasa mtu ni mgonjwa aendelee kua madarakani for what? Wewe baba yako anaenda kila msiba?Yule DHALIMU wa Chato kama angekuwa hai asingekwenda kwa Malecela kuhani msiba. Naona aliichukia sana familia ya Malecela na wanae.
Kumbuka namna alivyomtumbua marehemu Mwele aliyekuwa DG wa NIMR. Pia akamstaafisha Jaji Mwendwa Malecela ambaye ni mgonjwa kabla ya umri wa kustaafu
Na mimi nimejiuliza hivyo, kwamba viti vya Mzee Malecela ni vichafu hadi aende na viti vyake?
Kushindwa Kukupa Mimba yangu pekee.w
we unajua unachoumwa?
Ni kiti chake kuna ubaya gani?Ni lazima popote aendapo awe na kiti kutoka ikulu?
Unadhani Rais ni mwenyekiti wa mtaa? acheni ujingaNa mimi nimejiuliza hivyo, kwamba viti vya Mzee Malecela ni vichafu hadi aende na viti vyake?
Je kuna mchezo huwa wanacheza na yeye ni miongoni mwa hao hivyo anahofia?
Je huko nyuma ya pazia maji yamekorogeka hadi awe hivi?
Sawa mimi ni mjinga. ukikaidi utapigwa2 kwa nchi yetu ya Tanzania ni rais yupi aliyeenda na kiti chake kwenye msiba au nyumba ya ibada?Unadhani Rais ni mwenyekiti wa mtaa? acheni ujinga
Mama Lemutuz kapiga bati la ukweli.Mama Lemutuz poleni!
Lissu ndiyo nani kwenye judicial system ya Tanzania?Uliwahi kumsikia Tundu Lisu juu ya Huyu Jaji unayedai alistaafishwa.
La pili mimi nikipishana kauli na wewe au nduguyo nitakuwa nimepishana na familia nzima.
Mfugale alikuwa amepata kiharusi (mild stroke) na alikuwa amefikia retirement lakini aliendelea kuwa CEO wa TANROADS hadi anakufa. Hapa naongelea double standards tu. Rafiki zake aliacha wawe Serikalini ili wafaidi nafuu ya matibabu ya serikali. Lakini wengine akashinikiza wastaafu.Naona aibu kusoma utumbo huu, sasa mtu ni mgonjwa aendelee kua madarakani for what? Wewe baba yako anaenda kila msiba?
Anna Kilango amekuwa mzee kuliko Malecela!!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemtembelea na kumfariji Waziri Mkuu mstaafu Mzee John Samwel Malecela kufuatia kifo cha mtoto wake Marehemu William Malecela (Lemutuz) kilichotokea hivi karibuni, alipofika nyumbani kwake mtaa wa Kilimani Mkoani Dodoma, tarehe 22 Mei, 2023.
Unaweza tupa reference ya cases alizoamua toka alipoteuliwa kuwa Jaji na kazi alizoamua Mfugale na hiya Mild stroke yake .na ni miaka mingapi alikaa na hiya Mild Stroke Jaji Offisini na Mild Trike ya Mfugale hapo TabroadsMfugale alikuwa amepata kiharusi (mild stroke) na alikuwa amefikia retirement lakini aliendelea kuwa CEO wa TANROADS hadi anakufa. Hapa naongelea double standards tu. Rafiki zake aliacha wawe Serikalini ili wafaidi nafuu ya matibabu ya serikali. Lakini wengine akashinikiza wastaafu.
Unaona nilichoandika ni utumbo kwa kuwa uko less informed
Kwani wewe ni nani kwenye judicial system mpaka unapinga kustaafishwa kwa JajiLissu ndiyo nani kwenye judicial system ya Tanzania?
Issue ni kuugua ukiwa kazini na siyo kazi ngapi umefanya ukiwa mgonjwa. Hatutaki DOUBLE standards na ndiyo ulikuwa udhaifu mkubwa wa Magufuli. Kumbuka hata vyeti feki. Aliwatoa vyeti feki lakini akawaacha akina Makonda, Kabudi, Kigwangalla, Mwigulu na yeye mwenyewe akiwa na PhD Feki.Unaweza tupa reference ya cases alizoamua toka alipoteuliwa kuwa Jaji na kazi alizoamua Mfugale na hiya Mild stroke yake .na ni miaka mingapi alikaa na hiya Mild Stroke Jaji Offisini na Mild Trike ya Mfugale hapo Tabroads
Mimi ni raia kwenye judicial system ya nchiKwani wewe ni nani kwenye judicial system mpaka unapinga kustaafishwa kwa Jaji
Aliugua kabla ya kuteuliwa au baada ya kuteuliwaIssue ni kuugua ukiwa kazini na siyo kazi ngapi umefanya ukiwa mgonjwa. Hatutaki DOUBLE standards na ndiyo ulikuwa udhaifu mkubwa wa Magufuli. Kumbuka hata vyeti feki. Aliwatoa vyeti feki lakini akawaacha akina Makonda, Kabudi, Kigwangalla, Mwigulu na yeye mwenyewe akiwa na PhD Feki.
Au kuwabomolea wanachi wa Kimara- Kibamba nyumba huku akiacha nyumba za wakazi wa Mwanza.
Haya ndiyo yalimchukiza Mungu hadi akaamua kuitoa roho ya Magufuli na kupeleka jehanam