peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kazi kusifia upup....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitambulishe vzr tukufahamu.Ndugu zangu Watanzania,
Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.
Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.
Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tatizo elimu!Utakufa wewe na wivu wako.
Msamehe Bure Tu,Wewe nawe zwazwa tu na u CCM wako..Eeh.nini faida ya hilo kwa maisha magumu ya wananchi waliyo nayo mpaka utuletee hapa?Halafu unaanza na eti ..Ndugu zangu..!!!??@#%÷
Wewe nani?🤔Napenda hivi.
Yani alipo Anko na wewe upo.
Endeleeni kujiteka na kujipoteza ili mpate umaarufu.Dioniz Kipanya, Kiongozi wa CHADEMA Sumbawanga adaiwa kutekwa
Taarifa za Ndugu zake na Viongozi wenzake wa Chadema zinaeleza kwamba leo ni siku ya 8 tangu atekwe na waliojitambulisha kama maofisa wa Polisi kutoka Ofisi ya RPC. Dioniz Kipanya ni Katibu Mwenezi wa Chadema Sumbawanga Mjini, Juhudi za kumtafuta kwenye vituo vya Polisi zimegonga mwamba Hata...www.jamiiforums.com
Naacha nafasi ili na wewe uweke namba yako.Kila siku unasahau kuweka namba yasimu
ChalamilaWewe nani?🤔
Ungerejea shule kujifunza kuandika.Katika watu wajinga kwnye maisha yake na elimu haimsaidii bx hutu jamaa yaan huyu akili hana kabisa
Hahaa iyo imekaa poa sana MwaisaNaacha nafasi ili na wewe uweke namba yako.
Acha ujinga wako hapa wewe ilikwenda ukakuta bandari na mbuga hazipo?Tunasubiri aje atoe maelezo kwa nini aliuza bandari na mbuga za wanyama sasa kwa waarabu.
Haya tandika kitanda vizuri ili akushughulikie vyema usiku huu. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketeeNdugu zangu Watanzania,
Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.
Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.
Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe hunaga akili.Haya tandika kitanda vizuri ili akushughulikie vyema usiku huu. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee