Pre GE2025 Rais Samia aibua shangwe na Nderemo kwa mashabiki wa Simba baada ya kupiga Simu moja kwa moja uwanja Wa Taifa

Pre GE2025 Rais Samia aibua shangwe na Nderemo kwa mashabiki wa Simba baada ya kupiga Simu moja kwa moja uwanja Wa Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni rahisi sana kuongoza wajinga...
Mwaka huu utakufa kwa wivu wako.maana Mama anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.Si umeona namna uwanja ulivyoripuka kwa shangwe na Nderemo baada ya kusikia sauti ya Mama?
 
Kazi ni kipimo cha utu.fanya kazi na acha kushinda kwenye vibaraza kupiga umbeya na ushakunoko wako. Maisha mazuri yataletwa na juhudi za mikono yako ,kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma sana.
Kama wewe unavyojituma hapa eti...Uko kazini umeingiza elfu 7..Hamnazo wewe.
 
Wewe ndiye mjinga usiyejitambua.
Bwabwaa hilii inamsaidia nn mtanzania ambaye hajui kesho yake umasikini umetamalaki alipo huko Moro ana tumia mabilion pesa za walipa kodi yeye na msafara wakeee....shwain
 
Bwabwaa hilii inamsaidia nn mtanzania ambaye hajui kesho yake umasikini umetamalaki alipo huko Moro ana tumia mabilion pesa za walipa kodi yeye na msafara wakeee....shwain
Fanya kazi uondoe umaskini wako. Hakuna atakaye kuja kukuondolea umaskini wako ikiwa wewe umekaa na kubweteka tu kama jiwe .Chakarika
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.

Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.

Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Aiseee uchawa kazi sana ,yaani habari ulivyoipamba kama mtu hajaona/kusikia anaweza akaamini unayoyaongea.
 
Hizi team mbili Yanga na Simba na mpira wa Tanzania kwa ujumla ndio vitu pia vinavyochelewesha ukombozi na kuwajaza watu ujinga.

Apige simu kwenye team zote sasa, likiwemo na chama langu Meco FC kutoka Tukuyu Mbeya, vinginevyo itakuwa ni ubaguzi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.

Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.

Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama anaupiga mwingi. Ila komredi leo mbona uzi mfupi sana?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.

Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.

Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
kipenzi cha waTanzania, daima yuko sambamba na waTanzania katika kila hali 🐒


Well done madame President Dr Samia Suluhu Hassan 🔥
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.

Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.

Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama anatapatapa
Hataamini 2025
 
Back
Top Bottom