Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Umesamehewa dhambi zakoWatoto wako nawaonea huruma kuwa na baba zezeta na kichaa wa namna hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesamehewa dhambi zakoWatoto wako nawaonea huruma kuwa na baba zezeta na kichaa wa namna hii.
Subiria siku ukija kuambiwa Tanzania ni protectorate ya UAE ndio utaelewa.Acha ujinga wako hapa wewe ilikwenda ukakuta bandari na mbuga hazipo?
Mwaka huu utakufa kwa wivu wako.maana Mama anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.Si umeona namna uwanja ulivyoripuka kwa shangwe na Nderemo baada ya kusikia sauti ya Mama?Ni rahisi sana kuongoza wajinga...
Endelea kuota na kupiga Ramli.Subiria siku ukija kuambiwa Tanzania ni protectorate ya UAE ndio utaelewa.
Nijitambulishe nini.Jitambulishe vzr tukufahamu.
Kama wewe unavyojituma hapa eti...Uko kazini umeingiza elfu 7..Hamnazo wewe.Kazi ni kipimo cha utu.fanya kazi na acha kushinda kwenye vibaraza kupiga umbeya na ushakunoko wako. Maisha mazuri yataletwa na juhudi za mikono yako ,kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma sana.
Kimasihara tunda litagegedwa ..Wewe nani?🤔
Bwabwaa hilii inamsaidia nn mtanzania ambaye hajui kesho yake umasikini umetamalaki alipo huko Moro ana tumia mabilion pesa za walipa kodi yeye na msafara wakeee....shwainWewe ndiye mjinga usiyejitambua.
Fanya kazi uondoe umaskini wako. Hakuna atakaye kuja kukuondolea umaskini wako ikiwa wewe umekaa na kubweteka tu kama jiwe .ChakarikaBwabwaa hilii inamsaidia nn mtanzania ambaye hajui kesho yake umasikini umetamalaki alipo huko Moro ana tumia mabilion pesa za walipa kodi yeye na msafara wakeee....shwain
Ndugu zangu Watanzania,
Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.
Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.
Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ramli anapiga huyo mama yenu anayeamini "uchifu" hadi anakutana nao.Endelea kuota na kupiga Ramli.
Mama anaupiga mwingi. Ila komredi leo mbona uzi mfupi sana?Ndugu zangu Watanzania,
Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.
Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.
Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi siyo chawa bali ni msema kweli siku zote.Aiseee uchawa kazi sana ,yaani habari ulivyoipamba kama mtu hajaona/kusikia anaweza akaamini unayoyaongea.
kipenzi cha waTanzania, daima yuko sambamba na waTanzania katika kila hali 🐒Ndugu zangu Watanzania,
Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.
Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.
Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama anatapatapaNdugu zangu Watanzania,
Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye amepiga simu kwa katibu Mkuu wa wizara ya sanaa na utamaduni Mheshimiwa Msigwa.
Ikumbukwe Mheshimiwa Rais yupo ziarani mkoani Morogoro na kutumia muda huu wa mapumziko ya jioni kufuatilia Siku hii ya Wenye Nchi yaani Simba Day.
Kwa hakika Rais Samia anapendwa haijapata kutokea hapa nchini.hakuna kama Samia na hakuna mwenye kumfikia katika ushawishi na kupendwa na watanzania.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Labda kama huyo "mungu" ni mjomba wako.Haya tandika kitanda vizuri ili akushughulikie vyema usiku huu. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Mama anatapatapa
Hataamini 2025
Unaumia ukiwa wapi huko? Kunywa dawa za maumivu tu.Mama anatapatapa
Hataamini 2025
Mama anapendwa na watanzania haijapata kutokea barani AfrikaHatari sana
Mwaka huu lazima mfe kwa presha na kichaka lenu hilo lililopoteza Dira na muelekeo, huku Mama na CCM akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzaniaHaisaidii