Pre GE2025 Rais Samia aibua shangwe na Nderemo kwa mashabiki wa Simba baada ya kupiga Simu moja kwa moja uwanja Wa Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jitambulishe vzr tukufahamu.
 
Tunasubiri aje atoe maelezo kwa nini aliuza bandari na mbuga za wanyama sasa kwa waarabu.
 
Wewe nawe zwazwa tu na u CCM wako..Eeh.nini faida ya hilo kwa maisha magumu ya wananchi waliyo nayo mpaka utuletee hapa?Halafu unaanza na eti ..Ndugu zangu..!!!??@#%÷
Msamehe Bure Tu,
 
 
Kila siku unasahau kuweka namba yasimu
 
Katika watu wajinga kwnye maisha yake na elimu haimsaidii bx hutu jamaa yaan huyu akili hana kabisa
 
Haya tandika kitanda vizuri ili akushughulikie vyema usiku huu. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…