Pre GE2025 Rais Samia aibua shangwe na Nderemo kwa mashabiki wa Simba baada ya kupiga Simu moja kwa moja uwanja Wa Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe nawe zwazwa tu na u CCM wako..Eeh.nini faida ya hilo kwa maisha magumu ya wananchi waliyo nayo mpaka utuletee hapa?Halafu unaanza na eti ..Ndugu zangu..!!!??@#%÷
Mkuu uwe na maisha magumu halafu uwe humu?!
 
Kama vile tunahitaji drama.
 
Huyo Yanga awapigie leo wananchi wenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…