Rais Samia aidhinisha Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote, sasa ni Sheria rasmi

K

Kwa andiko hili unaamini kuwa utapewa bure siyo
 
Kwa Sheria hii ndio huduma ya afya inaenda kuwa ya kiwango duni kupita maelezo. Hakuna jambo lolote linaendeshwa na serekali kwa ufanisi. Utakuta kinasemwa kingine, kinatekelezwa kingine kabisa.
Wew ndo unayoilewa hiyo bima yule waziri anamdoma kama chiriku mbona atakomaa kipindi hiki
 
Si amesema mwenyewe ameziba masikio .na kuamua kukaakimya
 
Kijijini mtu maskini mkulima hiyo kilimo Cha kujikimu au mtembeza Au kondakta wa daladala au dereva au muuza Genge au mama nitilie bima ya afya anachangia shilingi ngapi?
Zitatungwa kanunu, sheria ikishapata za Mhe. Rais kinachofuata ni kutunga kanuni(regulations) ambazo ndizo huweka utaratibu wa ufanisi wa sheria
 
Watu watakufa kama maji uhudumiwe bure nanani kama bima tu unayoilipia ni tabu ndio hii nj suicide mission.
Nakumbuka kauli hii Trump alimwambia Kim kuwa 'The rocket man is in suicidal mission'
ahahaha wazungu bwana!
 
Kijijini mtu maskini mkulima hiyo kilimo Cha kujikimu au mtembeza Au kondakta wa daladala au dereva au muuza Genge au mama nitilie bima ya afya anachangia shilingi ngapi?

Wewe mwenye uwezo utakuwa unamchangia asiye na uwezo...
 
Hiyo bima waje watuambie itatumika Hadi private? Juzi nimeenda zahanati ya serikali na bima yangu ya nhif, nimeambiwa dawa moja hawana nikanunue......na sio mara moja naambiwa hivyo......na hapo wanapita na mshahara wangu kila mwezi.
 
Watanzania tulio wengi mambo muhimu kama haya hatuyapi attention ila ngoja usikie V8 la Mh. Waziri limepata ajali usiku wa kuamkia leo ndio utaelewa vizuri.
 
Wazee hii sheria nilikuwa Sijaisoma ni ngumu sana...
Watu watafungwa sana...Naanza kukumbuka miaka ya 80 na 90 mwanzoni kodi ya Kichwa...
So sad isome vizuri..
Soma Kifungu cha 37 ,38 na 39...

Kwakuwa ni lazima Hakuna mtu hatatakiwa kutojiunga na usipojiunga utakamatwa na utalipa faini si chini ya laki sita na Utalipa Riba ya 10%
 
Hilo zoezi haliwezi kufanikiwa kamwe,kwanza wameaza tayari ubaguzi kati ya walionacho na wasionacho
 
Hiyo bima waje watuambie itatumika Hadi private? Juzi nimeenda zahanati ya serikali na bima yangu ya nhif, nimeambiwa dawa moja hawana nikanunue......na sio mara moja naambiwa hivyo......na hapo wanapita na mshahara wangu kila mwezi.
NHIF haipo limited kwa vituo vya serikari, inafanya kazi hadi kwa private provided ameingia mkataba nao.
 
Hilo zoezi haliwezi kufanikiwa kamwe,kwanza wameaza tayari ubaguzi kati ya walionacho na wasionacho
Probably kwasababu wameruka sana vitu vingi kuharakisha kitu ambacho hawakiwezi. Mfano mzuri ni misamaha, inaua vituo vya afya vingi chakustaajabisha serikari hailipii cost zinazotokana na misamaha. Wameruka sana stage nyingi. Sijajua wanapapara gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…