🙂🙂Wewe usiye mvivu kusoma nisaidie kujibu hilo swali nimeuliza nitashukuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙂🙂Wewe usiye mvivu kusoma nisaidie kujibu hilo swali nimeuliza nitashukuru.
sumpa jingalao Sir John Roberts 👆Wazee hii sheria nilikuwa Sijaisoma ni ngumu sana...
Watu watafungwa sana...Naanza kukumbuka miaka ya 80 na 90 mwanzoni kodi ya Kichwa...
So sad isome vizuri..
Soma Kifungu cha 37 ,38 na 39...
Kwakuwa ni lazima Hakuna mtu hatatakiwa kutojiunga na usipojiunga utakamatwa na utalipa faini si chini ya laki sita na Utalipa Riba ya 10%
Majobless Sasa wanafanya Je, Wana CCM Ambao ni masiki wa kutupwa jeWazee hii sheria nilikuwa Sijaisoma ni ngumu sana...
Watu watafungwa sana...Naanza kukumbuka miaka ya 80 na 90 mwanzoni kodi ya Kichwa...
So sad isome vizuri..
Soma Kifungu cha 37 ,38 na 39...
Kwakuwa ni lazima Hakuna mtu hatatakiwa kutojiunga na usipojiunga utakamatwa na utalipa faini si chini ya laki sita na Utalipa Riba ya 10%
Emeenda na majiToto Afya imeendaje! Maana juzi nilishuhudia watoto wawili wakishindwa kutibiwa kwa ajiri ya Bima ya watoto!
Watu watakufa na bima bureShida hizo huduma zenyewe sasa kwenye hayo mahospitali.
Weka nyama masharti ya kujiunga ni yapi?
Kuish kote sijawahi kutana na mtu mwenye mawazo finyu kama yako,kukata bima ni uoga wa maisha huo 🤪.
wewe hapo ulipo unajua utaugua lini na utaugua nini ?
kwa maana nyingine huo ni kama uchuro maana kama utakua unalipa bima kila mwaka halafu hujawahi kuumwa utaanza kuomba Mungu uumwe ili ufaidi hela zako ampapo mimi naona huo ni wendawazimu haki ya nani 🙌
wewe unajuaje nitaugua ?Kuish kote sijawahi kutana na mtu mwenye mawazo finyu kama yako,
Niny ndio mkiumwa huanza kusumbua ndugu kwa simu kibao
inasikitisha sana,huwezi kuelewa