Rais Samia aidhinisha zaidi ya billioni 39 kwa ajili ya miundombinu ya barabara Ilala

Rais Samia aidhinisha zaidi ya billioni 39 kwa ajili ya miundombinu ya barabara Ilala

Ametoa kutoka wapi? Inamaana serikali kwa sasa haina pesa inategemea pesa za Samia?
 
Ametoa kutoka wapi? Inamaana serikali kwa sasa haina pesa inategemea pesa za Samia?
vyovyote itakavyokua kua,
Maendeleo ni kipaumbele namba moja cha Rais na kipenzi cha wananchi wote Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.

Serikali sikivu ya CCM anayoiongoza inafanya kila jitihada kwa gharama yoyote ile ili wananchi wapate huduma muhimu za kijamii kisiasa na kiuchumi kwenye maeneo yao. Hakuna mbambamba yoyote kwenye hilo 🐒
 
BARABARA YA BANANA MPAKA MSONGOLA NA MOSHI BAR MPAKA BOMBA MBILI WAZIKUMBUKE.
 
RAIS SAMIA ATO ZAIDI YA BILLIONI 39 KWAAJILI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA ILALA.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameipatia Wilaya ya Ilala zaidi ya Bilioni 39 kwaajili ya kutatua changamoto za miundombinu ya barabara amepeleka mradi wa DMDP na wakandarasi wameshaanza kupatikana katika baadhi ya barabara.

Hayo ameyasema Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh Edward Mpogolo ma kusema kuwa pia Dkt Samia amesaidia maendeleo ya jamii kwa kutoa mikopo ya asilimia kumi kwenye halmashauri ya Ilala fedha ambazo zipo kwenye mzunguko ni zaidi ya Bilioni 27 na fedha zilizotengwa kwa mwaka huu ni zaidi ya Bilioni 11 na wanaenda kukaa na mama lishe kuwapatia elimu namna gani wanaweza kutumia mikopo hiyo na kurejesha.

Wewe na Bwana Lucas mwashambwa sometimes Maandiko yenu yanachochea Sana watu kumsema vibaya Rais

I think mnatakiwa kubadilisha strategy zenu kwenye uandishi

Soma comments hapo utaona kila mtu anaongea lugha ya kuudhi Kwa Rais ila chanzo ni Andiko lako

Sometimes mnaona kama mnamjenga kumbe mnabomoa

Mfano bwana Lucas, Yan yeye hata Rais akiangalia Saa yake baaaaaasi watanzania wanabubujikwa Kwa Furaha Rais kaangalia Saa
 
RAIS SAMIA ATO ZAIDI YA BILLIONI 39 KWAAJILI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA ILALA.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameipatia Wilaya ya Ilala zaidi ya Bilioni 39 kwaajili ya kutatua changamoto za miundombinu ya barabara amepeleka mradi wa DMDP na wakandarasi wameshaanza kupatikana katika baadhi ya barabara.

Hayo ameyasema Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh Edward Mpogolo ma kusema kuwa pia Dkt Samia amesaidia maendeleo ya jamii kwa kutoa mikopo ya asilimia kumi kwenye halmashauri ya Ilala fedha ambazo zipo kwenye mzunguko ni zaidi ya Bilioni 27 na fedha zilizotengwa kwa mwaka huu ni zaidi ya Bilioni 11 na wanaenda kukaa na mama lishe kuwapatia elimu namna gani wanaweza kutumia mikopo hiyo na kurejesha.

Aliye fanya ni Raisi au serikali kutoka kwa wanachi.Hizi ni hela za wote,yaani ni za wananchi zimetolewa kusaidia miundombinu Ilala.
 
vyovyote itakavyokua kua,
Maendeleo ni kipaumbele namba moja cha Rais na kipenzi cha wananchi wote Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.

Serikali sikivu ya CCM anayoiongoza inafanya kila jitihada kwa gharama yoyote ile ili wananchi wapate huduma muhimu za kijamii kisiasa na kiuchumi kwenye maeneo yao. Hakuna mbambamba yoyote kwenye hilo 🐒

Hivi uwa mnaandikiwa script ? Haha
Naona wote mnaandika Kwa mtiriliko ule ule

Wewe, juma juma Lucas wooote mnaandika mfumo ule ule
 
RAIS SAMIA ATO ZAIDI YA BILLIONI 39 KWAAJILI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA ILALA.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameipatia Wilaya ya Ilala zaidi ya Bilioni 39 kwaajili ya kutatua changamoto za miundombinu ya barabara amepeleka mradi wa DMDP na wakandarasi wameshaanza kupatikana katika baadhi ya barabara.

Hayo ameyasema Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh Edward Mpogolo ma kusema kuwa pia Dkt Samia amesaidia maendeleo ya jamii kwa kutoa mikopo ya asilimia kumi kwenye halmashauri ya Ilala fedha ambazo zipo kwenye mzunguko ni zaidi ya Bilioni 27 na fedha zilizotengwa kwa mwaka huu ni zaidi ya Bilioni 11 na wanaenda kukaa na mama lishe kuwapatia elimu namna gani wanaweza kutumia mikopo hiyo na kurejesha.
 

Attachments

  • FB_IMG_1727368868627.jpg
    FB_IMG_1727368868627.jpg
    57.3 KB · Views: 3
Hivi uwa mnaandikiwa script ? Haha
Naona wote mnaandika Kwa mtiriliko ule ule

Wewe, juma juma Lucas wooote mnaandika mfumo ule ule
Maendeleo hayana script, ni Lazima ya mnufaishe kila mwanainchi kwa usawa na haki gentleman, hiyo ndiyo muhimu zaidi 🐒
 
RAIS SAMIA ATO ZAIDI YA BILLIONI 39 KWAAJILI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA ILALA.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameipatia Wilaya ya Ilala zaidi ya Bilioni 39 kwaajili ya kutatua changamoto za miundombinu ya barabara amepeleka mradi wa DMDP na wakandarasi wameshaanza kupatikana katika baadhi ya barabara.

Hayo ameyasema Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh Edward Mpogolo ma kusema kuwa pia Dkt Samia amesaidia maendeleo ya jamii kwa kutoa mikopo ya asilimia kumi kwenye halmashauri ya Ilala fedha ambazo zipo kwenye mzunguko ni zaidi ya Bilioni 27 na fedha zilizotengwa kwa mwaka huu ni zaidi ya Bilioni 11 na wanaenda kukaa na mama lishe kuwapatia elimu namna gani wanaweza kutumia mikopo hiyo na kurejesha.
Tunaomba CV ya rais wetu. Hizi fedha anazozitoa ana utajiri kiwango gani?

Au mnafanya upumbavu wa kummilikisha nchi ili ionekane kila bajeti iliyopitishwa Bungeni inahusu mfuko wake binafsi?

Mshahara wake analipwa na nani?
 
Tunaomba CV ya rais wetu. Hizi fedha anazozitoa ana utajiri kiwango gani?

Au mnafanya upumbavu wa kummilikisha nchi ili ionekane kila bajeti iliyopitishwa Bungeni inahusu mfuko wake binafsi?

Mshahara wake analipwa na nani?
Mikopo! Nani alimwambia wananchi wanahitaji kuwagiwa fedha za mikopo, bila ujuzi?
Hakuna kipindi ambacho tutajuta, kama kinachojiita awamu ya sita
 
Mikopo! Nani alimwambia wananchi wanahitaji kuwagiwa fedha za mikopo, bila ujuzi?
Hakuna kipindi ambacho tutajuta, kama kinachojiita awamu ya sita
Polisi na TISS wanalazimisha aendelee kwa sababu ni wanufaika na haya madhila tunayoyapitia
 
Upuuzi mtupu. Samia hana hela ya kutoa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu wilaya ya Ilala. Fedha hizo zimetolewa na serikali , na zinatokana na Kodi za wananchi.
RAIS SAMIA ATO ZAIDI YA BILLIONI 39 KWAAJILI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA ILALhana
 
Mnakera mnaposema Rais ametoa pesa,kwa nini msiseme serikali imetoa?
 
Maendeleo hayana script, ni Lazima ya mnufaishe kila mwanainchi kwa usawa na haki gentleman, hiyo ndiyo muhimu zaidi 🐒

It's there since mwalimu Nyerere
Tunanufaika na Kodi zetu kupata maendeleo

Nothing special, au Kwa upande wako unaona Jambo gani ni special?
 
RAIS SAMIA ATO ZAIDI YA BILLIONI 39 KWAAJILI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA ILALA.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameipatia Wilaya ya Ilala zaidi ya Bilioni 39 kwaajili ya kutatua changamoto za miundombinu ya barabara amepeleka mradi wa DMDP na wakandarasi wameshaanza kupatikana katika baadhi ya barabara.

Hayo ameyasema Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh Edward Mpogolo ma kusema kuwa pia Dkt Samia amesaidia maendeleo ya jamii kwa kutoa mikopo ya asilimia kumi kwenye halmashauri ya Ilala fedha ambazo zipo kwenye mzunguko ni zaidi ya Bilioni 27 na fedha zilizotengwa kwa mwaka huu ni zaidi ya Bilioni 11 na wanaenda kukaa na mama lishe kuwapatia elimu namna gani wanaweza kutumia mikopo hiyo na kurejesha.

Wakuu, huyu mama unazipata wapi hela anazomwaga? Atakuwa tajiri kiasi gani mpaka anamwaga mabilioni kila aendapo? Naomba kuelimishwa. Ni kama kwa sasa hakuna haja ya sirikari kuandaa bajeti. Wabunge washindane kugharaghara mbele ya mama na mama akifurahishwa wilaya zao anazimwagia mabilioni. Au siyo?
 
Hii kitu kusema Rais ndiyo ametoa hela hiki kitu kinanikera. Rais ana hela gani za kufanya hayo yote?
Hili tumekua tukilisema mara nyingi kwamba linawaondolea wananchi mambo mengi sana ya kiuwajikaji na hasa kukwepa kwa viongozi kuwajibika lakini chawa wapuuzi na watu wasiojielewa wanaotegemea hisani ya Mheshimiwa Rais katika uteuzi wamejipa utaratibu wa hovyo wa kusema Rais ametoa wakimtanabaisha na mambo mazuri tu ya nchi hii, ila pale yanapotokea mambo ya hovyo mathalani ya ubadhirifu wa fedha za umma na mauaji wana kingia kifua kuwa hausiki.

1. Vyanzo vya Mapato ya Ndani

Hivi ni vyanzo vinavyopatikana kutoka ndani ya nchi. Vinajumuisha kodi, ada, tozo, na mapato yasiyo ya kodi.

a) Kodi (Taxes)

Kodi ni chanzo kikuu cha mapato ya serikali. Kodi inaweza kugawanywa katika aina zifuatazo:

  • Kodi ya moja kwa moja: Hii ni kodi inayotozwa moja kwa moja kutoka kwa kipato au mali ya watu binafsi na makampuni. Mifano ni kama vile:
    • Kodi ya mapato ya mtu binafsi (PAYE – Pay As You Earn)
    • Kodi ya mapato ya makampuni (Corporate Tax)
    • Kodi ya mali (Property Tax)
  • Kodi isiyo ya moja kwa moja: Hii ni kodi inayotozwa kwenye matumizi ya bidhaa na huduma. Mifano ni kama:
    • Kodi ya ongezeko la thamani (VAT – Value Added Tax)
    • Kodi ya ushuru wa bidhaa (Excise Duty)

b) Ada na Tozo (Fees and Levies)

Hizi ni malipo yanayotozwa kwa watu au mashirika kwa huduma zinazotolewa na serikali. Mifano ni kama vile:

  • Ada za leseni (kama leseni za biashara, madereva, nk.)
  • Ada za vyeti (kama vyeti vya kuzaliwa, ndoa, nk.)
  • Tozo za huduma za umma (kama bili za maji, umeme, nk.)

c) Mapato Yasiyo ya Kodi (Non-Tax Revenues)

Mapato haya hutokana na shughuli za kibiashara zinazofanywa na mashirika ya umma au serikali yenyewe, pamoja na uwekezaji wa serikali. Mifano ni kama:

  • Mapato kutoka mashirika ya umma (kwa mfano, faida ya mashirika ya umma kama TANESCO au ATCL)
  • Mapato kutoka kwa rasilimali za asili (kama madini, mafuta, gesi, na misitu)
  • Mapato kutoka kwenye uwekezaji wa serikali (kama dhamana za serikali au miradi ya kitaifa)

2. Vyanzo vya Mapato ya Nje

Hivi ni vyanzo vinavyopatikana kutoka nje ya nchi, ikiwa ni pamoja na mikopo, misaada, na ufadhili wa miradi ya maendeleo.

a) Mikopo (Loans)

Serikali inaweza kukopa kutoka kwa taasisi za kifedha za kimataifa kama vile:

  • Benki ya Dunia (World Bank)
  • Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF)
  • Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)
Mikopo hii inapaswa kulipwa na mara nyingi hutozwa riba.

b) Misaada na Ufadhili wa Miradi (Grants and Aid)

Serikali pia hupokea misaada ya kifedha na ufadhili wa miradi kutoka kwa nchi wahisani na mashirika ya kimataifa. Misaada hii haijumuishi ulazima wa kurejesha, na inatumika kwa:

  • Miradi ya maendeleo (kama barabara, shule, hospitali, n.k.)
  • Misaada ya dharura (katika majanga ya asili kama mafuriko au ukame)

c) Fadhila za Kimataifa (Foreign Direct Investments – FDI)

Hizi ni fedha zinazowekezwa na mashirika au watu binafsi kutoka nje ya nchi kwa lengo la kuanzisha au kuendesha biashara au miradi ya kiuchumi ndani ya nchi.

 
kiongozi na kipenzi cha wa wananchi anatumia pesa za wananchi kuchochea kazi maendeleo ya wananchi nchi nzima bila mbambamba yoyote aise 🐒
Jina lako linaonesha ulivyo hasara kwako na kwa familia yako, mbaya zaidi kwa taifa. Nisamehe kwa kufanya personal attack, but this was necessary
 
Zitaishiwa kuliwa tu
Miradi sahivi inavyoendelea
Hata hazieleweki
Usimamizi sifuri tu

Ova
 
Back
Top Bottom