- Thread starter
- #21
Hebu onesha maneno yenye mwelekeo wa kusifia hapo,Kusifia kwingine kunahitaji moyo wa mbao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu onesha maneno yenye mwelekeo wa kusifia hapo,Kusifia kwingine kunahitaji moyo wa mbao.
Nani atafungua mdomo wake kukemea anaye mpatia uji wa kila siku?Rubbish, hakuna anayezungumzia mfumuko wa bei zaidi ya kusifia ujinga
Kati chini lakiniTanzania ipo kwenye uchumi wa kati
Sisi ni doonaa kantreeeeeSoon tutaanza kugawa misaada duniani, hasa nchi masikini kama marekani n.k
Kwahiyo hatuna tofauti na wamachinga?Kati chini lakini
Wewe huwezi kuyakubali maana kwa akili zako ndiyo zimekutuma kuandika hayoHebu onesha maneno yenye mwelekeo wa kusifia hapo,
Kwa taarifa tu,Nani atafungua mdomo wake kukemea anaye mpatia uji wa kila siku?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]===
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa,
View attachment 2011443
Yaseme yote mkuuWewe huwezi kuyakubali maana kwa akili zako ndiyo zimekutuma kuandika hayo
Onesha ni wapi tumekosa akili?Mpaka naona aibu. Tunaonekana wote ni mbumbumbu kisa bakili moja
basi hii dunia ni ngumu sana. yaani kwa maisha haya ya kitanzania sisi ni wa 10 africa kwa utajiri? sasa wa mwisho atakuwaje?===
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa,
View attachment 2011443
Balaa tupu,basi hii dunia ni ngumu sana. yaani kwa maisha haya ya kitanzania sisi ni wa 10 africa kwa utajiri? sasa wa mwisho atakuwaje?
Hivi mnayafurahia maigizo haya huku tukifa njaaSoon tutaanza kugawa misaada duniani, hasa nchi masikini kama marekani n.k
Mkuu muda mali nduguYaseme yote mkuu
Hovyo kabisaNani atafungua mdomo wake kukemea anaye mpatia uji wa kila siku?
Kigogo yupo wapi siku hizi jamani?Propaganda za kipuuzi
Kigogo yupo upande wa maza wanajenga uchumiKigogo yupo wapi siku hizi jamani?
Wewe unaonaje?