Rais Samia aingia amependeza Kikaoni kuwahi kutokea, wengi watamani Ushonaji wake wa Nguo uigwe kwenye vazi la Taifa

Ila Mkuu wewe sio Chawa Tu... Wewe ni FUNZA kabisa Mkuu...😀😀👋👋
Subiri Maandiko ya kumsifia Wasira yatakavyomiminika hapa jukwaani Ndio utajua kwamba mashuleni 21centiry skills zinafaa kufundishwa
 
Wote akili zenu sawa na huyo mama yako hata sishangai kwanini mlipata division 0 form four.
 
Rubbish
 

“Mbwira “ - Mjumuisho wa Tabia zake za hovyo
 
Hayo uliyoyaandika yametekelezwa vyema sana na serikali yetu chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
 
Mimi siwezi kujitekenya unayejitekenya ni wewe kunguni unayeacha kujadili mambo ya kitaifa na kuangalia trivial issue kama vazi la kiongozi.
Mambo ya kitaifa yapo vyema na yanaendelea vizuri .hili ni la kitaifa zaidi kuliko hata hayo mengine
 
Mambo ya kitaifa yapo vyema na yanaendelea vizuri .hili ni la kitaifa zaidi kuliko hata hayo mengine
Zero ya kwenye vyeti haiwezi kukosewa hadi kwenye kufikiri katika uhalisia tutajikuta tu tumekujua uwezo wako na ulichopata shuleni.

Kwakuwa wewe ulienda kusindikiza wenzio basi endelea kulamba buku 7 kutetea uongo humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…