Rais Samia aingia amependeza Kikaoni kuwahi kutokea, wengi watamani Ushonaji wake wa Nguo uigwe kwenye vazi la Taifa

 
Lucas Mwashambwa nilidhani na wewe utakuwa huko, halafu akili za Machawa bhana sasa nguo na muonekano wa mtu unausifia hivi kweli ndugu yetu unajiewa kweli wewe?

Mwenzako Tlaatlaah yupo Dodoma huko wewe kazi yako kusifia mavazi na muonekano wa mtu tu. Tanzania kuwa na watu kama wewe kwenye mfumo ni sifuri kabisa
 
Hilo vazi litaigwa na na nyie chawa na wanaccm.
 
Kwani unafahamu mimi nipo wapi kwa sasa ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa Mawazo na chuki binafsi.
 
Huyo dogo Kwan alisomea Uchawa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…