Rais Samia aingia amependeza Kikaoni kuwahi kutokea, wengi watamani Ushonaji wake wa Nguo uigwe kwenye vazi la Taifa

Rais Samia aingia amependeza Kikaoni kuwahi kutokea, wengi watamani Ushonaji wake wa Nguo uigwe kwenye vazi la Taifa

Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika ikiwa upo mbali na Tv yako basi nenda hata migawahani au vibanda umiza au hata kwa jirani mwenye Tv ushuhudie kinachoendelea Dodoma.kwa sababu ikiwa upo mbali na Tv au matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma .Basi utakuwa unakosa Mambo mengi sana hapa Duniani.

Rais Samia ameingia Leo kikaoni kibabe kwelikweli.ameingia akiwa Amependeza kuwahi kutokea au kushuhudiwa kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya juu kuwahi kuingoza au kushika nafasi yoyote ile ya kiserikali mahali popote pale Duniani na kwenye vikao vyovyote vile Kuwahi kufanyika.

Walio kuwa wanamuona akiingia wengine walishindwa kumtambua kwa haraka haraka.kwa hakika tumepata Rais kwelikweli.Rais Wa viwango,Rais mwenye utimamu wa Mwili na akili,Rais shupavu ,hodari, madhubuti,imara na makini kwelikweli.Rais anayejua ukubwa na umuhimu wa nafasi yake.

Unajua Ipo hivi.Rais na Mkuu wa Nchi ni kioo cha Nchi au Taifa.ni Nembo yetu sisi watanzania.Ni taswira ya Nchi,Mtu akitaka kutujua watanzania vyema akili zetu zilivyo anaweza kumuangalia RAIS wetu alivyo na viongozi waliomzunguka.

.Ni aibu na inakuwa aibu kwa Taifa zima ikiwa mnakuwa na kiongozi mkuu wa Nchi mshamba mshamba na asiye na mpangilio hata wa mavazi yake tu.Haelewi avae vipi na wakati gani na kwa mazingira gani na kwa matukio gani na eneo lipi na kwa hali ya hewa ipi na ukanda upi.

Siyo mna Rais anatoka na anaingia kikaoni amevaa zake masweta mazito utafikiri watalii wanao jiandaa kupanda mlima Kilimanjaro huku akijua yupo eneo na mkoa wa joto kali kama Dar es salaam.matokeo yake muda wote anajikuta anatokwa na jasho tu uso mzima utafikiri anachoma au anaopoa mkaa Juani au anachoma tanuri la matofali kule maeneo ya Mbozi mbugani.

Rais Samia kiukweli anatufanya watanzania tujisikie fahari sana kuwa Naye madarakani.mpaka inafikia Watanzania wanatamani aina ya ushonaji wake wanguo ungeigwa katika vazi la Taifa .View attachment 3204382

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unafosi watu kufuatilia!? ccm Haina tena ushawishi kabisaa!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika ikiwa upo mbali na Tv yako basi nenda hata migawahani au vibanda umiza au hata kwa jirani mwenye Tv ushuhudie kinachoendelea Dodoma.kwa sababu ikiwa upo mbali na Tv au matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma .Basi utakuwa unakosa Mambo mengi sana hapa Duniani.

Rais Samia ameingia Leo kikaoni kibabe kwelikweli.ameingia akiwa Amependeza kuwahi kutokea au kushuhudiwa kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya juu kuwahi kuingoza au kushika nafasi yoyote ile ya kiserikali mahali popote pale Duniani na kwenye vikao vyovyote vile Kuwahi kufanyika.

Walio kuwa wanamuona akiingia wengine walishindwa kumtambua kwa haraka haraka.kwa hakika tumepata Rais kwelikweli.Rais Wa viwango,Rais mwenye utimamu wa Mwili na akili,Rais shupavu ,hodari, madhubuti,imara na makini kwelikweli.Rais anayejua ukubwa na umuhimu wa nafasi yake.

Unajua Ipo hivi.Rais na Mkuu wa Nchi ni kioo cha Nchi au Taifa.ni Nembo yetu sisi watanzania.Ni taswira ya Nchi,Mtu akitaka kutujua watanzania vyema akili zetu zilivyo anaweza kumuangalia RAIS wetu alivyo na viongozi waliomzunguka.

.Ni aibu na inakuwa aibu kwa Taifa zima ikiwa mnakuwa na kiongozi mkuu wa Nchi mshamba mshamba na asiye na mpangilio hata wa mavazi yake tu.Haelewi avae vipi na wakati gani na kwa mazingira gani na kwa matukio gani na eneo lipi na kwa hali ya hewa ipi na ukanda upi.

Siyo mna Rais anatoka na anaingia kikaoni amevaa zake masweta mazito utafikiri watalii wanao jiandaa kupanda mlima Kilimanjaro huku akijua yupo eneo na mkoa wa joto kali kama Dar es salaam.matokeo yake muda wote anajikuta anatokwa na jasho tu uso mzima utafikiri anachoma au anaopoa mkaa Juani au anachoma tanuri la matofali kule maeneo ya Mbozi mbugani.

Rais Samia kiukweli anatufanya watanzania tujisikie fahari sana kuwa Naye madarakani.mpaka inafikia Watanzania wanatamani aina ya ushonaji wake wanguo ungeigwa katika vazi la Taifa .View attachment 3204382

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi ndivyo wazungu walifanikiwa kuitawala afrika kwa kuwa na wajinga wengi kama wewe. Hadhi haiwezi kuwa kama huyu. Rais kwasasa yupo Burkina Faso. Mzazi wako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Shetani. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika ikiwa upo mbali na Tv yako basi nenda hata migawahani au vibanda umiza au hata kwa jirani mwenye Tv ushuhudie kinachoendelea Dodoma.kwa sababu ikiwa upo mbali na Tv au matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma .Basi utakuwa unakosa Mambo mengi sana hapa Duniani.

Rais Samia ameingia Leo kikaoni kibabe kwelikweli.ameingia akiwa Amependeza kuwahi kutokea au kushuhudiwa kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya juu kuwahi kuingoza au kushika nafasi yoyote ile ya kiserikali mahali popote pale Duniani na kwenye vikao vyovyote vile Kuwahi kufanyika.

Walio kuwa wanamuona akiingia wengine walishindwa kumtambua kwa haraka haraka.kwa hakika tumepata Rais kwelikweli.Rais Wa viwango,Rais mwenye utimamu wa Mwili na akili,Rais shupavu ,hodari, madhubuti,imara na makini kwelikweli.Rais anayejua ukubwa na umuhimu wa nafasi yake.

Unajua Ipo hivi.Rais na Mkuu wa Nchi ni kioo cha Nchi au Taifa.ni Nembo yetu sisi watanzania.Ni taswira ya Nchi,Mtu akitaka kutujua watanzania vyema akili zetu zilivyo anaweza kumuangalia RAIS wetu alivyo na viongozi waliomzunguka.

.Ni aibu na inakuwa aibu kwa Taifa zima ikiwa mnakuwa na kiongozi mkuu wa Nchi mshamba mshamba na asiye na mpangilio hata wa mavazi yake tu.Haelewi avae vipi na wakati gani na kwa mazingira gani na kwa matukio gani na eneo lipi na kwa hali ya hewa ipi na ukanda upi.

Siyo mna Rais anatoka na anaingia kikaoni amevaa zake masweta mazito utafikiri watalii wanao jiandaa kupanda mlima Kilimanjaro huku akijua yupo eneo na mkoa wa joto kali kama Dar es salaam.matokeo yake muda wote anajikuta anatokwa na jasho tu uso mzima utafikiri anachoma au anaopoa mkaa Juani au anachoma tanuri la matofali kule maeneo ya Mbozi mbugani.

Rais Samia kiukweli anatufanya watanzania tujisikie fahari sana kuwa Naye madarakani.mpaka inafikia Watanzania wanatamani aina ya ushonaji wake wanguo ungeigwa katika vazi la Taifa .View attachment 3204382

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tumewashinda vitongojini 😅
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika ikiwa upo mbali na Tv yako basi nenda hata migawahani au vibanda umiza au hata kwa jirani mwenye Tv ushuhudie kinachoendelea Dodoma.kwa sababu ikiwa upo mbali na Tv au matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma .Basi utakuwa unakosa Mambo mengi sana hapa Duniani.

Rais Samia ameingia Leo kikaoni kibabe kwelikweli.ameingia akiwa Amependeza kuwahi kutokea au kushuhudiwa kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya juu kuwahi kuingoza au kushika nafasi yoyote ile ya kiserikali mahali popote pale Duniani na kwenye vikao vyovyote vile Kuwahi kufanyika.

Walio kuwa wanamuona akiingia wengine walishindwa kumtambua kwa haraka haraka.kwa hakika tumepata Rais kwelikweli.Rais Wa viwango,Rais mwenye utimamu wa Mwili na akili,Rais shupavu ,hodari, madhubuti,imara na makini kwelikweli.Rais anayejua ukubwa na umuhimu wa nafasi yake.

Unajua Ipo hivi.Rais na Mkuu wa Nchi ni kioo cha Nchi au Taifa.ni Nembo yetu sisi watanzania.Ni taswira ya Nchi,Mtu akitaka kutujua watanzania vyema akili zetu zilivyo anaweza kumuangalia RAIS wetu alivyo na viongozi waliomzunguka.

.Ni aibu na inakuwa aibu kwa Taifa zima ikiwa mnakuwa na kiongozi mkuu wa Nchi mshamba mshamba na asiye na mpangilio hata wa mavazi yake tu.Haelewi avae vipi na wakati gani na kwa mazingira gani na kwa matukio gani na eneo lipi na kwa hali ya hewa ipi na ukanda upi.

Siyo mna Rais anatoka na anaingia kikaoni amevaa zake masweta mazito utafikiri watalii wanao jiandaa kupanda mlima Kilimanjaro huku akijua yupo eneo na mkoa wa joto kali kama Dar es salaam.matokeo yake muda wote anajikuta anatokwa na jasho tu uso mzima utafikiri anachoma au anaopoa mkaa Juani au anachoma tanuri la matofali kule maeneo ya Mbozi mbugani.

Rais Samia kiukweli anatufanya watanzania tujisikie fahari sana kuwa Naye madarakani.mpaka inafikia Watanzania wanatamani aina ya ushonaji wake wanguo ungeigwa katika vazi la Taifa .View attachment 3204382

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kumbe chawa
 
Uwe unamsifia na mama yako aliyebeba mimba na kwenda leba.

Kama mama yako hana nguo nzuri sema tumchangie naye apate sifa.
Kila siku sifa kwa mama wa wenzako tu??
 
ephen_ 🤔Hivi haya mambo yake ndio yaliteka moyo wako? Kama ni ndio na nyie ni adui wa taifa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika ikiwa upo mbali na Tv yako basi nenda hata migawahani au vibanda umiza au hata kwa jirani mwenye Tv ushuhudie kinachoendelea Dodoma.kwa sababu ikiwa upo mbali na Tv au matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma .Basi utakuwa unakosa Mambo mengi sana hapa Duniani.

Rais Samia ameingia Leo kikaoni kibabe kwelikweli.ameingia akiwa Amependeza kuwahi kutokea au kushuhudiwa kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya juu kuwahi kuingoza au kushika nafasi yoyote ile ya kiserikali mahali popote pale Duniani na kwenye vikao vyovyote vile Kuwahi kufanyika.

Walio kuwa wanamuona akiingia wengine walishindwa kumtambua kwa haraka haraka.kwa hakika tumepata Rais kwelikweli.Rais Wa viwango,Rais mwenye utimamu wa Mwili na akili,Rais shupavu ,hodari, madhubuti,imara na makini kwelikweli.Rais anayejua ukubwa na umuhimu wa nafasi yake.

Unajua Ipo hivi.Rais na Mkuu wa Nchi ni kioo cha Nchi au Taifa.ni Nembo yetu sisi watanzania.Ni taswira ya Nchi,Mtu akitaka kutujua watanzania vyema akili zetu zilivyo anaweza kumuangalia RAIS wetu alivyo na viongozi waliomzunguka.

.Ni aibu na inakuwa aibu kwa Taifa zima ikiwa mnakuwa na kiongozi mkuu wa Nchi mshamba mshamba na asiye na mpangilio hata wa mavazi yake tu.Haelewi avae vipi na wakati gani na kwa mazingira gani na kwa matukio gani na eneo lipi na kwa hali ya hewa ipi na ukanda upi.

Siyo mna Rais anatoka na anaingia kikaoni amevaa zake masweta mazito utafikiri watalii wanao jiandaa kupanda mlima Kilimanjaro huku akijua yupo eneo na mkoa wa joto kali kama Dar es salaam.matokeo yake muda wote anajikuta anatokwa na jasho tu uso mzima utafikiri anachoma au anaopoa mkaa Juani au anachoma tanuri la matofali kule maeneo ya Mbozi mbugani.

Rais Samia kiukweli anatufanya watanzania tujisikie fahari sana kuwa Naye madarakani.mpaka inafikia Watanzania wanatamani aina ya ushonaji wake wanguo ungeigwa katika vazi la Taifa .View attachment 3204382

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kitendo cha kuitwa chawa na mhusika akaona fahari kuitwa hivyo, akili yake haiwezi kuwa sawa!!! Chizi!!!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika ikiwa upo mbali na Tv yako basi nenda hata migawahani au vibanda umiza au hata kwa jirani mwenye Tv ushuhudie kinachoendelea Dodoma.kwa sababu ikiwa upo mbali na Tv au matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma .Basi utakuwa unakosa Mambo mengi sana hapa Duniani.

Rais Samia ameingia Leo kikaoni kibabe kwelikweli.ameingia akiwa Amependeza kuwahi kutokea au kushuhudiwa kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya juu kuwahi kuingoza au kushika nafasi yoyote ile ya kiserikali mahali popote pale Duniani na kwenye vikao vyovyote vile Kuwahi kufanyika.

Walio kuwa wanamuona akiingia wengine walishindwa kumtambua kwa haraka haraka.kwa hakika tumepata Rais kwelikweli.Rais Wa viwango,Rais mwenye utimamu wa Mwili na akili,Rais shupavu ,hodari, madhubuti,imara na makini kwelikweli.Rais anayejua ukubwa na umuhimu wa nafasi yake.

Unajua Ipo hivi.Rais na Mkuu wa Nchi ni kioo cha Nchi au Taifa.ni Nembo yetu sisi watanzania.Ni taswira ya Nchi,Mtu akitaka kutujua watanzania vyema akili zetu zilivyo anaweza kumuangalia RAIS wetu alivyo na viongozi waliomzunguka.

.Ni aibu na inakuwa aibu kwa Taifa zima ikiwa mnakuwa na kiongozi mkuu wa Nchi mshamba mshamba na asiye na mpangilio hata wa mavazi yake tu.Haelewi avae vipi na wakati gani na kwa mazingira gani na kwa matukio gani na eneo lipi na kwa hali ya hewa ipi na ukanda upi.

Siyo mna Rais anatoka na anaingia kikaoni amevaa zake masweta mazito utafikiri watalii wanao jiandaa kupanda mlima Kilimanjaro huku akijua yupo eneo na mkoa wa joto kali kama Dar es salaam.matokeo yake muda wote anajikuta anatokwa na jasho tu uso mzima utafikiri anachoma au anaopoa mkaa Juani au anachoma tanuri la matofali kule maeneo ya Mbozi mbugani.

Rais Samia kiukweli anatufanya watanzania tujisikie fahari sana kuwa Naye madarakani.mpaka inafikia Watanzania wanatamani aina ya ushonaji wake wanguo ungeigwa katika vazi la Taifa .View attachment 3204382

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kheee..!! mmefika pabaya sana wallah
 
Kwahio imefika wakati tunaangalia kupendeza / muonekano badala ya Hoja (what is within) ?; Nadhani nilishakwambia kabla hii ingekuwa sawa kama ingekuwa ni Dessert au Starter na sio Main Menu..., Yaani kila siku Dish unalo-serve ni hizi pettiness. Anyway to each their own...
 
Back
Top Bottom