MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Ndio maana mtu anaona bora akafunge mzigo China kuliko kununua Nairobi au South Africa.Biashara baina ya nchi za kiafrika ni ghali kuliko Afrika na mabara mengine. Kuna ripoti nilipata kuiona bahati mbaya nimesahau title yake ningeku-cite uipitie
Uko sahihi mkuu.Ndio maana mtu anaona bora akafunge mzigo China kuliko kununua Nairobi au South Africa.
Nyie Ndiyo huwa mnawapamba wanasiasa mpaka wanajiona wao mungu, halafu wanaanza kutoa matamko ya ajabu ajabu, matokeo yake maisha ya watu wengine yanaathirika pakubwaTuache ushabiki Tanzania inakwenda vizuri Sana katika kila idara, Samia ajengewe tu mnara
Nini kimekustua?Nyie Ndiyo huwa mnawapamba wanasiasa mpaka wanajiona wao mungu, halafu wanaanza kutoa matamko ya ajabu ajabu, matokeo yake maisha ya watu wengine yanaathirika pakubwa
Regime hizi nitofauti sana licha ya chama kuwa kimoja,Unaweza kudhani miaka yote tangu uhuru chama kilichokua kimeshika hatamu ni Chadema,kwamba CCM ndio imeingia madarakani sa hivi.
Ni balaaa ..ukikutana nayo Tena tupia link kwenye hii mada mkuu.......inashangaza Ila hamna jinsiBiashara baina ya nchi za kiafrika ni ghali kuliko Afrika na mabara mengine. Kuna ripoti nilipata kuiona bahati mbaya nimesahau title yake ningeku-cite uipitie
wacha tuoneNi balaaa ..ukikutana nayo Tena tupia link kwenye hii mada mkuu.......inashangaza Ila hamna jinsi
770,000 ni Two waysWangefanya laki tano kwenda kurudi kama Rwanda kabla ya Covid walikuja na nauli ya China laki nane mpaka milion moja kwenda na kurudi walifanya sana biashara huku nauli ya SA ikiwa 250usd mpaka 300usd tatizo la atcl wao kupanga bei wanataka warudishe hela ya kununua ndege mwaka mmoja kumbe hiyo ni biashara endelevu...
Nimeshangaa sana yaani hapo tu ndio pesa yote hiyo770k nyingi sana tunaibiwa kirahisi sana afu ukizingatia kenya sio mbali afu ni mteremko
Richmond - Dowans - Symbion - MakataniTanzania tunakwenda vizuri Sana kama nchi
Rais Samia kila anachogusa kinafanikiwa sana
Mungu ibariki Tanzania
hivi fastjet waliwezaje kwenda South Africa kwa bei ndogo ya around laki moja ..... fastjet waliwezaje kuwa na low fares.Mbona wengne wameshindwa.770k nyingi sana tunaibiwa kirahisi sana afu ukizingatia kenya sio mbali afu ni mteremko
Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
Mzee kunasehemu wameandika two waysDar -Oman ni laki tano tu kwa Oman Air.
Dar - Nairobi laki saba.
Hivi Oman na Nairobi wapi mbali?
Kwani China nauli kiasi gani?Ndio maana mtu anaona bora akafunge mzigo China kuliko kununua Nairobi au South Africa.
Nadhani watapunguzaDar -Oman ni laki tano tu kwa Oman Air.
Dar - Nairobi laki saba.
Hivi Oman na Nairobi wapi mbali?
Kumbe Air Tanzania ni bei poa sanaHongera kwao maana kwa precision air hiyo ni nauli ya one way.