Rais Samia aipongeza ATCL kwa kuchanja mbuga, Kenya sasa ni Tshs 770,000 tu

Rais Samia aipongeza ATCL kwa kuchanja mbuga, Kenya sasa ni Tshs 770,000 tu

Biashara baina ya nchi za kiafrika ni ghali kuliko Afrika na mabara mengine. Kuna ripoti nilipata kuiona bahati mbaya nimesahau title yake ningeku-cite uipitie
Ni balaaa ..ukikutana nayo Tena tupia link kwenye hii mada mkuu.......inashangaza Ila hamna jinsi
 
Wangefanya laki tano kwenda kurudi kama Rwanda kabla ya Covid walikuja na nauli ya China laki nane mpaka milion moja kwenda na kurudi walifanya sana biashara huku nauli ya SA ikiwa 250usd mpaka 300usd tatizo la atcl wao kupanga bei wanataka warudishe hela ya kununua ndege mwaka mmoja kumbe hiyo ni biashara endelevu...
 
Wangefanya laki tano kwenda kurudi kama Rwanda kabla ya Covid walikuja na nauli ya China laki nane mpaka milion moja kwenda na kurudi walifanya sana biashara huku nauli ya SA ikiwa 250usd mpaka 300usd tatizo la atcl wao kupanga bei wanataka warudishe hela ya kununua ndege mwaka mmoja kumbe hiyo ni biashara endelevu...
770,000 ni Two ways
 
770k nyingi sana tunaibiwa kirahisi sana afu ukizingatia kenya sio mbali afu ni mteremko
hivi fastjet waliwezaje kwenda South Africa kwa bei ndogo ya around laki moja ..... fastjet waliwezaje kuwa na low fares.Mbona wengne wameshindwa.
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Hongera kwao maana kwa precision air hiyo ni nauli ya one way.
 
Back
Top Bottom