Rais Samia aitisha na kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino

Rais Samia aitisha na kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
1721819548322.jpg

Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024

Taarifa kamili tutakuletea

1721819539353.jpg
 
Gen Z hawami ndani ya Baraza Hilo. Wanahitajika wawepo
 

Attachments

  • 5777652-1a8d2c741fc0124431fb9a8873f1cb59.mp4
    2.5 MB
Back
Top Bottom