Rais Samia aitisha na kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino

Rais Samia aitisha na kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino

Inategemea unadefine vipi akili ila kwa bara hakuna uchaguzi CCM alishindwa hata uwe huru namna gani (except for 2015 napo kwa mbaaali sana) ila kwa sababu sisi wapinzani hatuna roho ya kuridhika kulalamika ni jadi yetu hatuwezi kubali.
Kuwa maarufu kwenye vimiji viwili vitatu hakukufanyi ushinde urais wa Tanzania nzima japo kuna mazonge mazonge mengi ila hakuna upinzani imara mpaka unchallenged CCM
Kwanini wewe na mumeo msiwe wapinzani imara?
 
Si ndiyo amekutuma kuja kuandika ujinga wako hapa badala ya kukaa na kupika huko
Kichaka cha wapumbavu wakishindwa hoja huanza matusi
Alishindwa lowassa(RIP) mtu aliyeijua system nje ndani aje aweze lopolopo lissu? Haupo serious mzee
 
Back
Top Bottom