maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Ebu weka kipengele cha katiba kuonyesha ni mjumbeNi mjumbe wa Baraza la Mawaziri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu weka kipengele cha katiba kuonyesha ni mjumbeNi mjumbe wa Baraza la Mawaziri
Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri wa JMTNdio
Ni baraza la machawa, hakuna cha maana zaidi ya kupongezana tu
Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024
Taarifa kamili tutakuletea
hujakiona?Ivi kuna ukweli kwa haya ninayo sikia kuhusu mamangu kwamba kuna kichupa chake kina sambaa kwa kasi mtaani.
😂😂😂😂😂 nakwambia Idimulwa geti la peponi, utalisikia tu.Hamna lolote...hapo panapaswa kuzingirwa na kupigwa petrol...Nchi inanyooka
Mbona hakuna mbara kwenye baraza la mapinduzi?
Na Mimi Hiki ndicho kimenijia kichwani!Kwani wateule wameshaapishwa?
Nape amekaa upande gani mbona simuoni?
Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024
Taarifa kamili tutakuletea
Sija pata vip unacho nije PMhujakiona?
Sawa, lakini asipopachikwa kwenye portfolio nyingine inakuwa kafanywaje?Kwa mfano Ruto alipovunja baraza la mawaziri na kuwatwua tena wale wale je hiyo utasema walifukuzwa? Huko ni kumbadili unafukuzwa ikiwa umemsikiliza mtu na hukukubaliana na utetezi wake na ukasema nakufukuza lakini hii discretional power watu hawafukuzwi bali wanabadilishwa tu
Umesoma ukaishia darasa la ngapi??Kumbe rais wa Zanzibar ni waziri huku bara?
Umesoma mpaka darasa la ngapi?? Au uliacha shule ukiwa darasa la ngapi ukaenda kuchunga??Ebu weka kipengele cha katiba kuonyesha ni mjumbe
Tangu nianze kutumia jf sijawahi kuona rais yeyote akisemwa vizuri humu yaani kila muhula ni Chadema watachukua nchi ila uchaguzi ukija ni CCM mitano tenaCHADEMA mkikaza kidogo 2025 mnachukua nchi, wananchi wamechoshwa na huyu maza
Tangu 2005 lini CCM imewahi kushinda tena kwa haki? kuwa mkweli kama kweli una akili timamuTangu nianze kutumia jf sijawahi kuona rais yeyote akisemwa vizuri humu yaani kila muhula ni Chadema watachukua nchi ila uchaguzi ukija ni CCM mitano tena
Inategemea unadefine vipi akili ila kwa bara hakuna uchaguzi CCM alishindwa hata uwe huru namna gani (except for 2015 napo kwa mbaaali sana) ila kwa sababu sisi wapinzani hatuna roho ya kuridhika kulalamika ni jadi yetu hatuwezi kubali.Tangu 2005 lini CCM imewahi kushinda tena kwa haki? kuwa mkweli kama kweli una akili timamu