Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hakuna jipya hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyeo vyote ni vya wazanzibar mkuu wengine ni wapangajiNamuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!
Cheo ni koti la kuazimaKwahiyo marope na yule jamaa ambae ana utani na watanzania wote nao wanasoma hizi habari kama sisi hapa? Ama kweli Kurjuaaani ipo
CHADEMA mkikaza kidogo 2025 mnachukua nchi, wananchi wamechoshwa na huyu mazaMwenyekiti wetu wa chama Mh Mbowe kama sio yeye bc atatuletea mtu sahihi na sisi wanachama tutamuunga mkono.
Mambo anayaona ya moto kwelikweli!
Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024
Taarifa kamili tutakuletea
Ndiyo! Yeye ni Waziri kwa nafasi yake kama Rais wa Zanzibar!Namuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!
Namuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!
Ndoto za mchana2025 mheshimiwa Mbowe ndio ataitisha na kuongoza baraza la mawaziri.
mungu ibariki Chadema
Au Kufurushwa...Hivi hauelewi maana ya kutenguliwa?
Kutenguliwa ni lugha ya staha, lakini kiuhalisia ni kufuzwa.
ni mjumbe wa baraza la mawaziriNamuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!
CCM ni washirikina hayawezi kutokea TzMambo anayaona ya moto kwelikweli!
Anaona yanayomkuta jirani yake Ruto, yasije yakahamia hapa TZ 😀
Mbona hakuna mbara kwenye baraza la mapinduzi?Rais wa SMZ ni sehemu ya baraza la mawaziri...
Kimsingi huu muungano uvunjwe haraka snNdiyo! Yeye ni Waziri kwa nafasi yake kama Rais wa Zanzibar!
Nakumbuka Amani Karume aligoma kuapa kama waziri wa Muungano!
Walivyo serious sana utadhani wanajadili mambo ya maana kumbe ni namna ya kuendelea kumkamua Mtanganyika!!
Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024
Taarifa kamili tutakuletea
Aah wapi..acha kuwapa kichwa jombaa....CCM ni washirikina hayawezi kutokea Tz
Hivi wewe nyumbu unaakili kweli kwaiyo yeye mbowe ndo atuletee Rais watanzania labda awaletee Rais wa mioyo yenu inamaana nyie huko viongozi mnaletewa sio mnawachagua?Mwenyekiti wetu wa chama Mh Mbowe kama sio yeye bc atatuletea mtu sahihi na sisi wanachama tutamuunga mkono.
Baba ukitaka kuandamana kesho yake unasahau au kuamka unaumwa kichwa haswaAah wapi..acha kuwapa kichwa jombaa....
CCM kazi mnayo 2025Hivi wewe nyumbu unaakili kweli kwaiyo yeye mbowe ndo atuletee Rais watanzania labda awaletee Rais wa mioyo yenu inamaana nyie huko viongozi mnaletewa sio mnawachagua?
Hakika 🤝CHADEMA mkikaza kidogo 2025 mnachukua nchi, wananchi wamechoshwa na huyu maza
Kweli tupu, huku kitaa maisha ni magumu snHakika 🤝