Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Sio lazima kukabidhi ofisi ukifukuzwa kazi.Kwakuwa Nape & Makamba bado hawajakabidhi ofisi I hope walikuwemo.
Huuu ni usaliti na undumila kuwili kwaiyo sio lisu Tena au kwakuwa sio mchaga?2025 mheshimiwa Mbowe ndio ataitisha na kuongoza baraza la mawaziri.
mungu ibariki Chadema
Kwakuwa Nape & Makamba bado hawajakabidhi ofisi I hope walikuwemo.
Mwenyekiti wetu wa chama Mh Mbowe kama sio yeye bc atatuletea mtu sahihi na sisi wanachama tutamuunga mkono.Huuu ni usaliti na undumila kuwili kwaiyo sio lisu Tena au kwakuwa sio mchaga?
Labda baraza la mawaziri la alikotoka baba yake Nyasaland2025 mheshimiwa Mbowe ndio ataitisha na kuongoza baraza la mawaziri.
mungu ibariki Chadema
NdioNamuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!
Siku zote uongo hauna ushahidi.Ivi kuna ukweli kwa haya ninayo sikia kuhusu mamangu kwamba kuna kichupa chake kina sambaa kwa kasi mtaani.
Achana na mambo ya siasa fanya mambo mengineNamuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!