Rais Samia aitisha na kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106

Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024

Taarifa kamili tutakuletea

 
Gen Z hawami ndani ya Baraza Hilo. Wanahitajika wawepo
 

Attachments

  • 5777652-1a8d2c741fc0124431fb9a8873f1cb59.mp4
    2.5 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…