Rais Samia aitisha na kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino

Mambo anayaona ya moto kwelikweli!

Anaona yanayomkuta jirani yake Ruto, yasije yakahamia hapa TZ 😀
 
Walivyo serious sana utadhani wanajadili mambo ya maana kumbe ni namna ya kuendelea kumkamua Mtanganyika!!
 
Mwenyekiti wetu wa chama Mh Mbowe kama sio yeye bc atatuletea mtu sahihi na sisi wanachama tutamuunga mkono.
Hivi wewe nyumbu unaakili kweli kwaiyo yeye mbowe ndo atuletee Rais watanzania labda awaletee Rais wa mioyo yenu inamaana nyie huko viongozi mnaletewa sio mnawachagua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…