Utafikri wako serious!
Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024
Taarifa kamili tutakuletea
Safari hii mbona kazi wanayo ccmKweli tupu, huku kitaa maisha ni magumu sn
CCM ni mashirikina unaweza kwenda kumpigia kura Lissu badala ake ukampigia Maza bila kujuaSafari hii mbona kazi wanayo ccm
Naona wa Zenji wamepata wa kuwawakirisha mambo ya nje!Kwakuwa Nape & Makamba bado hawajakabidhi ofisi I hope walikuwemo.
Hakuna uchawi mbele ya nguvu ya umma..ni sauti ya Mungu.: Uchawi wanao..sawa..Niliwahi kukabiliana na CCM kwenye by election-2013 ya Mwenyekiti wa Kijiji kinaitwa KABIGA-huko Nyangh' wale mpakani mwa Mkoa wa Mwanza na Geita nikiwa CHADEMA,ilikuwa wiki moja ya kampeni za kufa na kupona..CCM wametuchangia wa Mwanza na Geita.Tumetoka Geita Mjini tukiwa 5 tu, Dada 1 wa Bawacha na siye MME 4 na mkweche wetu wa Lover wao na Cruser mpyaaa.Poli-CCM wakawazila CCM kwamba hawana mafuta ya Difenda..Tulitawala Kijiji jombaa chini ya Red-brigade. :Usiku wa kuamukia siku ya kupiga kura tuliwakamata CCM wakiwa wanamwaga dawa za kienyeji walahi kwenye kisima cha wazi cha maji ya kunywa wana kijiji.Sikuamini macho yangu..wakatimuka na kuacha baadhi ya tunguli pale...Lakini kesho yake Mgombea wetu wa CHADEMA alishinda kwa kishindo cha kutisha.Baba ukitaka kuandamana kesho yake unasahau au kuamka unaumwa kichwa haswa
Huwa hawasemiNini kimejadiliwa huko?
Manaibu waziri ni sehemu ya baraza la Mawaziri?Namuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!
..Rais wa Zanzibar kahudhuria kikao cha Baraza la Mawaziri wa Muungano?! kweli Maza amekasirika, na anatisha.Namuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!
Kumbe rais wa Zanzibar ni waziri huku bara?
Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024
Taarifa kamili tutakuletea
HapanaManaibu waziri ni sehemu ya baraza la Mawaziri?
Ni mjumbe wa Baraza la MawaziriNamuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!
Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024
Taarifa kamili tutakuletea
Kikao cha panya road
Taarifa za muda huu kutokea ikulu ya Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024
Taarifa kamili tutakuletea
Katika hatua za mwisho mwisho kuandaa maandamano ya kupinga president mtarajiwa kudhalilishwa.Naona wa Zenji wamepata wa kuwawakirisha mambo ya nje!
R.I.P Mzee Thabiti Kombo. Tulikuwa tunamsoma saaana kwenye somo la Siasa, mashuleni miaka ileeee! Nikabahatika kumuona LIVE mara moja tu,(nilikuwa ninamfahamu kupitia picha kwenye magazeti ya Uhuru/Mzalendo.)alipokuja kufungua JUMBA LA MAENDELEO (hall) la kiwanda cha nguo cha URAFIKI!
Mwanae, anazidi kusogea tu! Wa Mwalimu JK, aaaaaaaaa!!!!
Mjumbe ktk barazaNamuona Hussen Mwinyi,naye ni waziri!!
Mungu atuepushe..2025 mheshimiwa Mbowe ndio ataitisha na kuongoza baraza la mawaziri.
mungu ibariki Chadema
Bado hujasemaMungu atuepushe..
Kama alishindwa 2010 na 2015 haitatokea tena kufanya hivyo.2025 mheshimiwa Mbowe ndio ataitisha na kuongoza baraza la mawaziri.
mungu ibariki Chadema
Kwa mfano Ruto alipovunja baraza la mawaziri na kuwatwua tena wale wale je hiyo utasema walifukuzwa? Huko ni kumbadili unafukuzwa ikiwa umemsikiliza mtu na hukukubaliana na utetezi wake na ukasema nakufukuza lakini hii discretional power watu hawafukuzwi bali wanabadilishwa tuHivi hauelewi maana ya kutenguliwa?
Kutenguliwa ni lugha ya staha, lakini kiuhalisia ni kufukuzwa.