Anahujumiwa na nani? Alishasema mabango ya malalamiko hataki! Anataka mabango yale ",Unaupiga mwingi, Umeunganisha Taifa" na hataki ata kusikia wananchi wake wanasemaje! Ila kusaini mikataba ya ovyo na kuja kuitetea aaanhh hapo ndo pake.Tatizo ni wasaidizi wa rais. Inakuwaje hawajutafuta hizo info mapema. Clip kama hizi zitammaliza rais Dkt Samia 2025. Maana kauli ka hiyo inaonesha ukaidi. Jamani hakika Dkt Samia anahujumiwa.
Halafu 2025 mnaanza kupita nyumba kwa nyumba kumwombea kura sio?Huwezi kuongoza nchi kubwa kama Tanzania kwa mfumo wa Rais kusikiliza matatizo binafsi ya watu nchi ikasonga mbele.
Wenzetu wanaojua maana ya Rais, waziri mbunge inapofanyika town Hall meeting watu wanauliza, wanatoa malalamiko yao mapendekezo kwa masuala ya mtaa, mji, jimbo au taifa. Sio malalimiko ya umenyang'anywa kiwanja na tajiri au umefukuzwa kazini ambayo ni masuala ya polisi na mahakama.
WtfRais Samia leo September akiwa Nangurukuru mkoani Mtwara alisimamisha msafara wake kuongea na wananchi wa eneo hilo. Moja wananchi hao aliomba kuongea jambo ambapo Rais alimwambia mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa.
Rais Samia alimtaka mwananchi huyo ampatie jambo lake mbunge kisha amfikishie Rais au wasaidizi wake.
Mwaka 2017 Rais Magufuli akiwa anaelekea Mtwara alisimamishwa Somanga na mwananchi aliyeelezea changamoto ya zahanati katika eneo hilo kutokamilika kwa miaka mingi. Rais Magufuli alichangia na kuamrisha ikamilike.
Alipopita tena barabara hiyo miaka 3 baadae mwananchi huyo alimzawadia jogoo kama shukrani ya kutimiza ahadi ya kufanyia kazi dukuduku lake na Magufuli alimsubiri mpaka alipomkamatia na kumpa. Alipofariki, mwananchi huyo alifunga safari kumzika Rais Magufuli mwaka 2021.
Subiri apotoshe ndipo useme amepotosha kusikilizwa ni lazima. Na mtu sahihi wa kusema atamletea alikuwa ni mkuu wa wilaya, mbunge anaweza asifikishe malalamiko kwa kwa rais kwani anajua 2025 sirudi tena bungeni ya nini kuangaika na hawa wananchi.Ili iweje? Rais hawezi kusikiliza kero za mtu mmoja mmoja, na hata akisikiliza hawezi kufanya maamuzi hapo kwa hapo, maana inawezekana huyo mwananchi akawa anapotosha pia. Kama yule mama wa Tanga alivyompotosha Magufuli
Etwege njoo huku. Mzalendo anaitwa "mwigizaji".Tatizo walijazwa upepo na yule mwigizaji au bwana yule
Akili ndogo sana hiiHuwezi kuongoza nchi kubwa kama Tanzania kwa mfumo wa Rais kusikiliza matatizo binafsi ya watu nchi ikasonga mbele.
Wenzetu wanaojua maana ya Rais, waziri mbunge inapofanyika town Hall meeting watu wanauliza, wanatoa malalamiko yao mapendekezo kwa masuala ya mtaa, mji, jimbo au taifa. Sio malalimiko ya umenyang'anywa kiwanja na tajiri au umefukuzwa kazini ambayo ni masuala ya polisi na mahakama.
Anajihujumu.Tatizo ni wasaidizi wa rais. Inakuwaje hawajutafuta hizo info mapema. Clip kama hizi zitammaliza rais Dkt Samia 2025. Maana kauli ka hiyo inaonesha ukaidi. Jamani hakika Dkt Samia anahujumiwa.
Wivu tuAnajihujumu.
Angesikiliza kisha maamuzi yangetolewa baadae. Hii ingeonesha anajali.
Kuna wakati mambo haya yanatia kichefu chefu.Anahujumiwa na nani? Alishasema mabango ya malalamiko hataki! Anataka mabango yale ",Unaupiga mwingi, Umeunganisha Taifa" na hataki ata kusikia wananchi wake wanasemaje! Ila kusaini mikataba ya ovyo na kuja kuitetea aaanhh hapo ndo pake.
,malalamiko na shida zao zina mifumo yake ya kupokelewa.Sasa pale kasimama kufanya nini!?....kama anajua Mbunge yupo, why bother kusimama barabarani kusikiliza kero za wananchi?...mimi naamini kuna wananchi wameshazunguka ngazi za chini na hawapati msaada, Kiongozi wa nchi akisikiliza hizo special cases,anaweza kutoa msukumo mwananch asaidiwe.
Yule mhuni alikuwa comedian pro max. Alikuwa anaandaa wauliza maswali na anakuwa ameandaa script ya namna ya kutatua "changamoto" fake anayopewa.Tatizo walijazwa upepo na yule mwigizaji au bwana yule
Hahaha...Rais wa kusalimia wananchi sio!!. Umeeleweka...Amesimama kuwasalimia wananchi
,malalamiko na shida zao zina mifumo yake ya kupokelewa.
Anaendesha kwa namna ya hovyo, aache uvivu asikilize kero za wananchi...sasa alisimama hapo wapige picha tuu.Samia sio mkurupukaji, na haendeshi nchi kama Magufuli, bali kwa namna yake mwenyewe
Rais hajatokana na kura za wananchi ili kuwa rais hivyo hawezi kujua shida za wananchi zikoje.Rais Samia leo September akiwa mkoani Mtwara alisimamisha msafara wake kuongea na wananchi wa eneo hilo. Moja wananchi hao aliomba kuongea jambo ambapo Rais alimwambia mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa.
Rais Samia alimtaka mwananchi huyo ampatie jambo lake mbunge kisha amfikishie Rais au wasaidizi wake.
Mwaka 2017 Rais Magufuli akiwa anaelekea Mtwara alisimamishwa Somanga na mwananchi aliyeelezea changamoto ya zahanati katika eneo hilo kutokamilika kwa miaka mingi. Rais Magufuli alichangia na kuamrisha ikamilike.
Alipopita tena barabara hiyo miaka 3 baadae mwananchi huyo alimzawadia jogoo kama shukrani ya kutimiza ahadi ya kufanyia kazi dukuduku lake na Magufuli alimsubiri mpaka alipomkamatia na kumpa. Alipofariki, mwananchi huyo alifunga safari kumzika Rais Magufuli mwaka 2021.
Kama ni hivyo huyo mbunge si ndio angepeleka hayo majibu? Au ni mambo ya kujimix?Anasimama barabarani kusalimia, au kutoa majibu ya matatizo aliyopewa na kuhusu hilo eneo na mbunge wao... Ndio maana ya representative democracy
Ulitaka apite yeye mwenyewe nyumba kwa nyumba kuomba kura??Halafu 2025 mnaanza kupita nyumba kwa nyumba kumwombea kura sio?
UmechanganyikiwaPamoja na mazuri na mabaya ya the late JPM,
Tulipata rais wa aina yake na alikua raisi na mtetezi wa wanyonge.....
Magufuri alikulia maisha ya kimasikini masikini udogoni mpaka alikua anasemaga aliwai kuuza NTALALI NA NS'UNGWI na NFULU wasukuma wanaelewa......
Hata kuja kupatikana kama JPM yaan hakuwa anajitenga na watu alikua ni msikivu na katili sometimes.........
Najua hata nisipo kuja kua kiongozi au Rais wa JMT ila moyo wangu una amani sababu Kuna mtu ameishi maono yangu Mimi ni kama JPM tunafanana kwenye misimamo, kuongoza, udikteta, kusimamia nacho amini...
JPM nilitofautiana nae kwenye mengi kimtazamo sometimes ila namkubali sana Huyu BABA angu mdogo JPM
RIP JPM