Exy JF-Expert Member Joined Feb 7, 2022 Posts 3,146 Reaction score 5,520 Sep 18, 2023 #341 Kama hataki kusikiliza kero zao, hiyo ziara yake itawasidia nini. Ndio tatizo la kuwapa nafasi watu wenye uwezo mdogo wakuchanganua Mambo wao binafsi.
Kama hataki kusikiliza kero zao, hiyo ziara yake itawasidia nini. Ndio tatizo la kuwapa nafasi watu wenye uwezo mdogo wakuchanganua Mambo wao binafsi.
Mfufua Nyuzi JF-Expert Member Joined Mar 11, 2024 Posts 412 Reaction score 395 Mar 12, 2024 #342 Haya mambo hayawezi kukumbukwa kipindi hiki 😄
P Percival JF-Expert Member Joined Mar 23, 2010 Posts 3,676 Reaction score 2,621 Mar 12, 2024 #343 Fikiria unamsimamisha rais wa nchi nusu saa kusikiliza kesi ya madai au kiwanja. Hiyo si sawa kuna mfumo wa kushughulikia kila tatizo.
Fikiria unamsimamisha rais wa nchi nusu saa kusikiliza kesi ya madai au kiwanja. Hiyo si sawa kuna mfumo wa kushughulikia kila tatizo.
Y Young fadson JF-Expert Member Joined Nov 6, 2017 Posts 1,177 Reaction score 1,406 Mar 12, 2024 #344 Percival said: Fikiria unamsimamisha rais wa nchi nusu saa kusikiliza kesi ya madai au kiwanja. Hiyo si sawa kuna mfumo wa kushughulikia kila tatizo. Click to expand... Mfumo ukifeli
Percival said: Fikiria unamsimamisha rais wa nchi nusu saa kusikiliza kesi ya madai au kiwanja. Hiyo si sawa kuna mfumo wa kushughulikia kila tatizo. Click to expand... Mfumo ukifeli
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 24,058 Reaction score 41,518 Mar 13, 2024 #345 Percival said: Fikiria unamsimamisha rais wa nchi nusu saa kusikiliza kesi ya madai au kiwanja. Hiyo si sawa kuna mfumo wa kushughulikia kila tatizo. Click to expand... Means wahusika hawafikishi malalamiko panapo husika
Percival said: Fikiria unamsimamisha rais wa nchi nusu saa kusikiliza kesi ya madai au kiwanja. Hiyo si sawa kuna mfumo wa kushughulikia kila tatizo. Click to expand... Means wahusika hawafikishi malalamiko panapo husika