Rais Samia akiipanua tu hii barabara, nitaanza rasmi kumpigia debe

Rais Samia akiipanua tu hii barabara, nitaanza rasmi kumpigia debe

gubegubekubwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2008
Posts
668
Reaction score
898
Wakuu barabara ya kutoka Kibaha maili moja hadi Morogoro ni kelo Sana, maroli ni mengi sana hii barabara imezidiwa Sana.

Unaweza ukatoka mkoani huko vzr tu unakuja kupoteza muda kipande hicho.

Mimi mheshimiwa Rais Samia akiipanua tu hii barabara kuwa njia sita kuanzia alipoishia Magufuli pale Kibaha maili moja hadi Morogoro kuwa njia sita mi nitaanza kumpigia debe rasmi mitano tenaaaa
 
Wakuu barabara ya kutoka Kibaha maili moja hadi Morogoro ni kelo Sana, maroli ni mengi sana hii barabara imezidiwa Sana.

Unaweza ukatoka mkoani huko vzr tu unakuja kupoteza muda kipande hicho.

Mimi mheshimiwa Rais Samia akiipanua tu hii barabara kuwa njia sita kuanzia alipoishia Magufuli pale Kibaha maili moja hadi Morogoro kuwa njia sita mi nitaanza kumpigia debe rasmi mitano tenaaaa
Kura yako moja haiwezi fanya tukakope mi trilioni ya hela wakati deni tuu lishapaa.
Asante lakini kwa maoni yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu barabara ya kutoka Kibaha maili moja hadi Morogoro ni kelo Sana, maroli ni mengi sana hii barabara imezidiwa Sana.

Unaweza ukatoka mkoani huko vzr tu unakuja kupoteza muda kipande hicho.

Mimi mheshimiwa Rais Samia akiipanua tu hii barabara kuwa njia sita kuanzia alipoishia Magufuli pale Kibaha maili moja hadi Morogoro kuwa njia sita mi nitaanza kumpigia debe rasmi mitano tenaaaa
SGR ikimalizika na treni ya umeme ikianza kazi tu hutaona malori tena na barabara itakuwa haina msongamano tena.
 
Mkuu kuipanua hadi moro ni mbali sana.Aipanue tu hadi Mlandizi au Chalinze, itatosha.
Mkuu nimetoka Moro leo kile kipande cha chalinze hadi Moro nacho ni shida bora wapanue hadi Moro tu, Sasa nimeshangaa wanasaini mkataba wa kwenda kupanua barabara huko mbeya kutoka igawa hadi tunduma wameiacha hii daaa
 
Mkuu kuipanua hadi moro ni mbali sana.Aipanue tu hadi Mlandizi au Chalinze, itatosha.
Mpaka ruvu daraja la treni pale au vigwaza sheli atakuwa amesolve tatizo la foleni
 
SGR ikimalizika na treni ya umeme ikianza kazi tu hutaona malori tena na barabara itakuwa haina msongamano tena.
SGR haiendi mbeya, tunduma au border ya malawi. Malori mengi yanapita njia hiyo.
 
Wakuu barabara ya kutoka Kibaha maili moja hadi Morogoro ni kelo Sana, maroli ni mengi sana hii barabara imezidiwa Sana.

Unaweza ukatoka mkoani huko vzr tu unakuja kupoteza muda kipande hicho.

Mimi mheshimiwa Rais Samia akiipanua tu hii barabara kuwa njia sita kuanzia alipoishia Magufuli pale Kibaha maili moja hadi Morogoro kuwa njia sita mi nitaanza kumpigia debe rasmi mitano tenaaaa
Binafsi hata mimi sielewi Marais wanaofuatia kwa nini wasiongeze njia nyingine kwa barabara kuu hizi.
Ok kuna mpango wa bandari kavu kule Kwara Pwani Mlandiz lakin bado naona haitaweza kutatua shida za jam zilizopo.

Leo kujenga barabara kiwango cha lami kinafikia 1b hadi 1.5b sasa tunaweza kuweka mkakati tu wa miaka 30 ivi mwaka huu barabara ya Mwanza next Arusha nk.

Kama Marais waliopita walizijenga hiz barabara kuu kwenda na kurudi kwa nn Marais wanaofuatia washindwe wakati matumiz ya barabara na huduma zingine zimeongezeka leo tupo 60m kila nyanja imeongezeka

1. Dar to Mtwara
2.Dar to Arusha na Tanga/namanga
3.Dar to Mbeya/tunduma
4.Dar to Songea/mtwara
5.Dar to Mwanza/Kagera/mtukura/Rwanda
6.Dar to Kigoma na Tabora/burundi

Hiz barabara zilianza kuboreshwa kipindi cha Mh.Mkapa sasa tukiweka Mkakati wa taifa wa miaka 20 au zaidi kweli tusingesimaliza.

Kama tunakopa kwa ajili ya maendeleo kwa nini tusikope fedha kuboresha barabara hizi ambazo kiuchumi zinalipa sana nje na ndani ya nchi

Na kizuri barabara zote zinaenda nchi jirani
ukiweka

Nimesikia kuna trion 7 zinakopwa au sijui msaada kwa nini tusifanye kitu tukamaliza jambo fulani la kimkakati then tuje na jambo lingine

Kukopa kwa ajili ya maendeleo/biashara ni jambo jema endapo mkopo huo utatumika kwenye malengo yaliyokusudiwa

Mh. Rais Samia ameanza vizur tunamaliza jambo fulan tunaenda jambo jingine mfano madarasa, madawati,mashine za mahospitali nk. na fedha za uviko 19 zitaleta picha nzuri Wizara za maji,utalii,afya,elimu,tamisemi

Kuna mwaka nilienda Nyasa mbambabay kuna bonde linamwaga maji ziwa Nyasa ni kubwa sana nikamuliza mwenyeji wangu vipi kwa nini msifanye kilimo cha umwagiliji kwa kutumia maji ya ziwa Nyasa sikupata jibu

NB.
Nchi iwe na Sera na mikakati ambayo haibadiliki hasa kwenye issues za kitaifa

Sio leo Rais akiingia sitak bandari au hiki ok kama kinamapungufu ndio muda wa kurekebisha kasoro zote mradi uendelee
 
Iyo barabara unayowaza mkuu inahitaji ipigwe ma ring road ya kutosha ma overpass, under pass watujengee kitu cha mvuto sio kutujengea tu li barabara ukilitazama hutaman kulipa kodi wala kusafiri
 
Wakuu barabara ya kutoka Kibaha maili moja hadi Morogoro ni kelo Sana, maroli ni mengi sana hii barabara imezidiwa Sana.

Unaweza ukatoka mkoani huko vzr tu unakuja kupoteza muda kipande hicho.

Mimi mheshimiwa Rais Samia akiipanua tu hii barabara kuwa njia sita kuanzia alipoishia Magufuli pale Kibaha maili moja hadi Morogoro kuwa njia sita mi nitaanza kumpigia debe rasmi mitano tenaaaa
Foleni ipo Maili Moja mpaka mlandizi na pale chalinze Basi kwingine hamna haja ya kuwa njia sita
 
Back
Top Bottom