Rais Samia akishiriki katika Usiku wa Samia na Kizimkazi - Paje

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki usiku wa Samia na Kizimkazi - Paje tarehe 30 Agosti, 2023 visiwani Zanzibar.

View: https://www.youtube.com/watch?v=CU8Y0ALcmVw

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiangalia vikundi mbalimbali vya Sanaa vikitumbuiza kwenye Tamasha la Kizimkazi (Usiku wa Samia) katika viwanja vya Paje Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2023.





Wasanii mbalimbali wakitumbuiza katika Tamasha la Kizimkazi (Usiku wa Samia) lililofanyika Paje, Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2023.


Shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi (Usiku wa Samia) lililofanyika Paje, Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2023.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…