Rais Samia akishiriki Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani

Rais Samia akishiriki Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani katika viwanja vya llulu Mkoani Lindi leo Disemba 1, 2022



Hotuba ya Rais Samia Suluhu

Tunapozungumza magonjwa ya UKIMWI na VVU tunazungumza muda wa miaka 30 tangu yalipoonekana kwetu kufika mwakani itakuwa mwaka wa 30 tangu mwaka 1983 ulipogunduliwa nchini ninaposimama hapa ni mwaka wa 29.

Dunia imedhamiria kukomesha majanga haya ya UKIMWI ifikapo mwaka 2030 na dunia inapigania usawa wa kijinsia katika kutokemeza janga hili la UKIMWI.

Napoongelea usawa namaanisha kuwa UKIMWI upo dunia nzima kama UVIKO hivyo kupata Usawa kwenye matibabu kwenye magonjwa yaliyo dunia nzima ni kazi sana ila tunashukuru tumepata misaada kwenye UVIKO na kwenye UKIMWI pia.

Mafanikio mliyoyafikia kupunguza vifo kupunguza maambukizi ni kwa sababu tulipata misaada kutoka kwa wahisani na niwashukuru sana ila bado wanasema jambo la unyanyapaa hatujalifanya vizuri bado kuna unyanyapaa na sisi tunasema tumejipanga vizuri na tuna mikakati ya kufikia 000, yaani 0 ya vifo, 0 ya maambukizi na 0 ya unyanyapaa na hiyo tunataka ikamilike 2030.

Kupitia hili tumejifunza kwamba kufanya kazi kwa ushirikiano kunaleta tija kubwa, hivyo inabidi tushirikiane katika kutokomeza hili kila mmoja afanye jukumu lake, kila mtu ajilinde, wanaotoa elimu watoe na walioambukizwa wasiambukize wengine, katika ushirikiano huu tutavuka na kufikia lengo.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani katika viwanja vya llulu Mkoani Lindi leo Disemba 1, 2022



Hotuba ya Rais Samia Suluhu

Tunapozungumza magonjwa ya UKIMWI na VVU tunazungumza muda wa miaka 30 tangu yalipoonekana kwetu kufika mwakani itakuwa mwaka wa 30 ninaposimama hapa ni mwaka wa 29.

Dunia imedhamiria kukomesha majanga haya ya UKIMWI ifikapo mwaka 2030 na dunia inapigania usawa wa kijinsia katika kutokemeza janga hili la UKIMWI.

Napoongelea usawa namaanisha kuwa UKIMWI upo dunia nzima kama UVIKO hivyo kupata Usawa kwenye matibabu kwenye magonjwa yaliyo dunia nzima ni kazi sana ila tunashukuru tumepata misaada kwenye UVIKO na kwenye UKIMWI pia.

Mafanikio mliyoyafikia kupunguza vifo kupunguza maambukizi ni kwa sababu tulipata misaada kutoka kwa wahisani na niwashukuru sana ila bado wanasema jambo la unyanyapaa hatujalifanya vizuri bado kuna unyanyapaa na sisi tunasema tumejipanga vizuri na tuna mikakati ya kufikia 000, yaani 0 ya vifo, 0 ya maambukizi na 0 ya unyanyapaa na hiyo tunataka ikamilike 2030.

Kupitia hili tumejifunza kwamba kufanya kazi kwa ushirikiano kunaleta tija kubwa, hivyo inabidi tushirikiane katika kutokomeza hili kila mmoja afanye jukumu lake, kila mtu ajilinde, wanaotoa elimu watoe na walioambukizwa wasiambukize wengine, katika ushirikiano huu tutavuka na kufikia lengo.
Kwamba huu ni mwaka wa 29 Tangu Ukimwi uingie Tanzania? Nani Kampa Rais hii Taarifa? Au anasoma Taarifa ya mfumo wa vyama vingi?
 
Kwamba huu ni mwaka wa 29 Tangu Ukimwi uingie Tanzania? Nani Kampa Rais hii Taarifa? Au anasoma Taarifa ya mfumo wa vyama vingi?
Miaka ya 80 mwanzoni ndo ilitokea huko kwenye mkoa pendwa ikiitwa JULIANA
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani katika viwanja vya llulu Mkoani Lindi leo Disemba 1, 2022



Hotuba ya Rais Samia Suluhu

Tunapozungumza magonjwa ya UKIMWI na VVU tunazungumza muda wa miaka 30 tangu yalipoonekana kwetu kufika mwakani itakuwa mwaka wa 30 tangu mwaka 1983 ulipogunduliwa nchini ninaposimama hapa ni mwaka wa 29.

Dunia imedhamiria kukomesha majanga haya ya UKIMWI ifikapo mwaka 2030 na dunia inapigania usawa wa kijinsia katika kutokemeza janga hili la UKIMWI.

Napoongelea usawa namaanisha kuwa UKIMWI upo dunia nzima kama UVIKO hivyo kupata Usawa kwenye matibabu kwenye magonjwa yaliyo dunia nzima ni kazi sana ila tunashukuru tumepata misaada kwenye UVIKO na kwenye UKIMWI pia.

Mafanikio mliyoyafikia kupunguza vifo kupunguza maambukizi ni kwa sababu tulipata misaada kutoka kwa wahisani na niwashukuru sana ila bado wanasema jambo la unyanyapaa hatujalifanya vizuri bado kuna unyanyapaa na sisi tunasema tumejipanga vizuri na tuna mikakati ya kufikia 000, yaani 0 ya vifo, 0 ya maambukizi na 0 ya unyanyapaa na hiyo tunataka ikamilike 2030.

Kupitia hili tumejifunza kwamba kufanya kazi kwa ushirikiano kunaleta tija kubwa, hivyo inabidi tushirikiane katika kutokomeza hili kila mmoja afanye jukumu lake, kila mtu ajilinde, wanaotoa elimu watoe na walioambukizwa wasiambukize wengine, katika ushirikiano huu tutavuka na kufikia lengo.
Yaani 1983 hadi mwakani 2023 ni miaka 30? Ndio Rais kasema hivyo au wewe ndio umenukuu vibaya?
 
Back
Top Bottom