Rais Samia akishiriki Mkutano wa 42 wa Wakuu wa Nchi wa SADC (DRC) leo Agosti 17, 2022

Rais Samia akishiriki Mkutano wa 42 wa Wakuu wa Nchi wa SADC (DRC) leo Agosti 17, 2022

Ajenda za mkutano ni zipi?... Au ni ule ule wimbo wa amani huko Kivu na ituri?
Agenda ni kupokezana kijiti kutoka kwa Chakwera kwenda kwa Tshisekedi

Ajenda nyingine ni usalama na mwisho ni kuhusu maendeleo ya viwanda, kilimo na madini ambayo ni dira ya 2020 - 2030 yaani.... Regional Indicative Strategic Development Plan (RISDP) 2020-2030 which seeks to further deepen Southern Africa regional integration and foster development in support to the pillar for Industrial Development and Market Integration.

Mwisho kabisa hii ni talk shops kama zingine tuuu tunakula perdiem turudi makwetu.
 
Agenda ni kupokezana kijiti kutoka kwa Chakwera kwenda kwa Tshisekedi

Ajenda nyingine ni usalama na mwisho ni kuhusu maendeleo ya viwanda, kilimo na madini ambayo ni dira ya 2020 - 2030 yaani.... Regional Indicative Strategic Development Plan (RISDP) 2020-2030 which seeks to further deepen Southern Africa regional integration and foster development in support to the pillar for Industrial Development and Market Integration.

Mwisho kabisa hii ni talk shops kama zingine tuuu tunakula perdiem turudi makwetu.
Shukrani kwa Uwakilishi Ndugu Lusungo,samahani Organization yenu ni ipi Mkuu??
 
Nimependa hii theme ' Promoting industrialisation through, agro-processing, mineral beneficiation, and regional value chains for inclusive and resilient economic growth' Tuna theme tamu tamu sana tatizo linakuja katika implementation... natamani Africa siku moja tuwe na strong economic blocks kama ilivyo EU

Lakini hapa tunajadili ajenda zinaishia kwenye makabrasha kila nchi inafanya yake na hakuna utekelezaji wa sera zetu zaidi ya free movement tuuu...

Hizi ni talk shops tu kwa Afrika.
 
Samia haogopi kuongea Kizungu kama Marehemu aliyestaafishwa na Covid.
 
Nimependa hii theme ' Promoting industrialisation through, agro-processing, mineral beneficiation, and regional value chains for inclusive and resilient economic growth' Tuna theme tamu tamu sana tatizo linakuja katika implementation... natamani Africa siku moja tuwe na strong economic blocks kama ilivyo EU

Lakini hapa tunajadili ajenda zinaishia kwenye makabrasha kila nchi inafanya yake na hakuna utekelezaji wa sera zetu zaidi ya free movement tuuu...

Hizi ni talk shops tu kwa Afrika.
Ngumu Sana hili bara kufika huko kwa aina ya tawala zilizopo.
MALCOM LUMUMBA
 
Hotuba, maneno, shutuma, udhani-fu na maazimio mengi sana, sasa iliyobaki ni vitendo vifanyike kwa maendeleo ya sisi wakaazi wa kanda ya SADC.

Lini tutaacha kurusha shutuma kwa mababu zetu na nchi zilizotutawala kwa madhila tuliyonayo sasa?

2022 kwenda mbele Inatakiwa vitendo sasa, tumejichelewesha sana.

1660735224101.png

Mwenyekiti wa SADC anayemaliza muda wake Rais Lazarus Chakwera na rais Félix Tshisekedi ambaye kwa kuwa mwenyeji atapokea uenyekiti source : 42e Sommet de la SADC : plusieurs dirigeants de l’Afrique australe à Kinshasa
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa 42 wa Wakuu wa Nchi wa SADC Nchini DRC leo tarehe 17 Agosti, 2022.


Jakaya yuko wapi? Kenya hayupo tena! Usikute yuko hotelini DRC anamngoja mazeri! Pole Salma
 
Nimependa hii theme ' Promoting industrialisation through, agro-processing, mineral beneficiation, and regional value chains for inclusive and resilient economic growth' Tuna theme tamu tamu sana tatizo linakuja katika implementation... natamani Africa siku moja tuwe na strong economic blocks kama ilivyo EU

Lakini hapa tunajadili ajenda zinaishia kwenye makabrasha kila nchi inafanya yake na hakuna utekelezaji wa sera zetu zaidi ya free movement tuuu...

Hizi ni talk shops tu kwa Afrika.
utekelezaji huwa mgumu,sbb sheria za nchi husika haaziko mtambuka

ndani ya sadc kn eac
 
Agenda ni kupokezana kijiti kutoka kwa Chakwera kwenda kwa Tshisekedi

Ajenda nyingine ni usalama na mwisho ni kuhusu maendeleo ya viwanda, kilimo na madini ambayo ni dira ya 2020 - 2030 yaani.... Regional Indicative Strategic Development Plan (RISDP) 2020-2030 which seeks to further deepen Southern Africa regional integration and foster development in support to the pillar for Industrial Development and Market Integration.

Mwisho kabisa hii ni talk shops kama zingine tuuu tunakula perdiem turudi makwetu.
iko vzr,tunawafuatilia
 
Back
Top Bottom