masopakyindi Platinum Member Joined Jul 5, 2011 Posts 18,207 Reaction score 13,839 Aug 6, 2022 #21 sambulugu said: Haache wajifariji huyo bibi yao ni kama nguo iliyoisha hakuna mtu anahangaika nayo! Mahaters wa Magufuli tu hao hawana jipya! Click to expand... Mkuu hapa hapa duniani unavuna ulichopanda. Hakuna cha haters wala nini, na tunajua mnachukia sana kwa mama kupendwa na wananchi wa aina zote! Mama an upendo na Mungu mbariki kwa hilo.
sambulugu said: Haache wajifariji huyo bibi yao ni kama nguo iliyoisha hakuna mtu anahangaika nayo! Mahaters wa Magufuli tu hao hawana jipya! Click to expand... Mkuu hapa hapa duniani unavuna ulichopanda. Hakuna cha haters wala nini, na tunajua mnachukia sana kwa mama kupendwa na wananchi wa aina zote! Mama an upendo na Mungu mbariki kwa hilo.