Siwezi kujibishana na KILAZA.We jamaa toka lini ukampangia mshahara sekta binafsi,we inaonekana ni kilaza.
Kasema Kima Cha chini, hajasema ongezeko la mshahara Kwa Kima Cha chiniMama anaupiga mwingi.
Mama ni Mama, yaani hapa ndio utajua, JPM alituua sana watanzania, yaani Mama katika mwaka mmoja kapandisha 23.3% yaani Watumishi wa umma wataandamana kumpongeza Mh. Rais Samia.
Mama Samia, watumishi wa Umma watakuombea kwa Mola na miaka yako iwe utakavyo duniani. Hii ni kazi kubwa sana Mama yetu kaifanya. Hakika Serikali ya CCM chini ya Mama yetu Samia imetenda makubwa hapa. Mungu ambariki Mama Samia sana.
Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima Cha mshahara ipo HiviHebu ngoja hapa:-
23.3/100=0.233
0.233×270000/= =62,910
KWA hiyo:-
270000+62910=332,910/=
KWA kima cha CHINI hicho!!
Nakaribisha masahihisho kama yapo!!
Mimi Raisi ajaye nimeona hivi KWA lima cha CHINI ya wewe je!!?
Alafu ukute na wewe una familia na inakutegemea kabisaFomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima Cha mshahara ipo Hivi
Kima Cha chini Cha mshahara ni 300000.
23/100x300000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69000=12420.
Sasa 69000-12420=56580.
Hivyo Basi nyongeza ya mashahara ni 56580 kwa kila mtumishi.
Hivyo tutegemee nyongeza ya 56000 kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai Ni tofauti kabisa.
Kwan hiyo 18% miaka ya nyuma haikuwepo😅😅😅Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima Cha mshahara ipo Hivi
Kima Cha chini Cha mshahara ni 300000.
23/100x300000=69,000/=
Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi?
18/100x69000=12420.
Sasa 69000-12420=56580.
Hivyo Basi nyongeza ya mashahara ni 56580 kwa kila mtumishi.
Hivyo tutegemee nyongeza ya 56000 kwenye mshahara.
Ndugu zangu msije pigia 23%ya basic eti ndio nyongeza mtakuta Julai Ni tofauti kabisa.
We ndo umeongea sawa ila mijitu mingine mingi humu haijaenda shuleSio kweli,iko hivi mshahara huongezwa kwa kuzingatia kima cha chini,maana yake mtu wa kima cha chini anaongezewa asilimia kubwa ili kupunhuza gape kati yke na kima cha juu,kwa hiyo kama kima chini anapewa asilimia 23.3 wa juu yake atapunguziwa asilimia fomula inaenda hivyo hivyo hadi wa daraja la mwisho.
Kwa mantiki hii ni kwamba mtu anaepokea let us say 250,000*0.233 =58,250 then wa juu yake asilimia itashuka kidogo lakini pesa itakayoongezeka itakua kubwa kiasi kutogautisha na wa kima cha chini mfano anapokea 350,000*0.183= 64,050 na kuendelea
Kwa mantiki hii watumishi wote lazima wataona badiliko katika mishahara yao,na nyongeza haiwezi kua flat rate!
Wale waliokuwa wanamdanganya mwenda zake bado wapo. Sirro naye yumoRais Samia kwenye masuala mengine anajitahidi, yupo fast to act, which is good.
Ila kwenye mambo ya siasa anakuwa mgumu sana kuelewa mpaka pawepo na vikao vya maridhiano, tena hata kwenye masuala yaliyo wazi kisheria, ajabu sana; sijui wakina nani wanamdanganya, hajiamini.
Serikali ambayo haina viwanda haiwezi controls kushuka kwa vitu. Pesa inayolipwa kuagiza vitu ni nyingi na viwanda vilivopo tz ni kanjanja havikidhi mahitaji na niwauni. Fikiria vifaa vya ujenzi tyres na gypsum zinazqlishwa hapa lakini bei inakaribianaSioni sababu ya kitaalamu ya kuonheza mishahara kwa wafanyakazi wa umma.
Serikali unatakiwa kujikita kupandisha thamani ya shilingi ya Tanzania ili pesa inayo patikana kwa wananchi kwa ujumla wao iweze kukidhi mahitaji yao ya kila siku.
Kuoambana na mufumko wa bei ya bidhaa na huduma mbalimbali.
Upo ushahidi kila mshahara unapo panda bidhaa hupanda bei .
Hivyo inawaumiza wale wasio na mshahara wa mwezi Bali ni wahangaikaji wa vibarua visivyo rasimi.
Kikwete alikua anafanya hivyo.Hakuna serikali inakopa kwa kulipa mshahara ukifika hapo ujuwe nchi imefilisika sio kweli ni kama wewe ukikopa ili upate chakula ujuwe umefilisika. Hebu nikatizame kama kuna bank inakopesha kwa ajili ya ugali.
Wamesema ikiwemo na kima cha chini kwasababu tucta ilitaka kima cha chini kiwe sh.1010000, ndio Mana wamewaambia kuwa hilo ongezeko hadi hao wa kima cha chini imewahusu asilimia 23.3Kwanini itamkwe ikiwemo kima cha chini. Kwani wao sio watumishi wa Umma...
Hainichanganyi ninaelewa ninachokisema angalia Kuna post nimemjibu mkuu Erythrocyte
Check backKabla ya kusema lolote naomba mtaalam yeyote aeleze maana ya23% kima cha chini. Hii 23% itaenda kwa kima cha kati au juu au hao hawaongezewi maana wananchi mtaani wanajua kila mtu anaongezewa 23%. Yaani kama mtu analipwa milioni 10 anaongezwea 23% yake
🤣🤣 haionekani vzr mkuu