Basic salary yako itakuwa hivi.
940,000 + (940,000 x 23.3%) = 1,159,020
Kutokea hapo sasa utakata
NHIF
PSSF
CWT/ TALGWU etc
PAYE nk
Mfano hai sasa.
BASIC SALARY ... 1,159,020
PSSF 5% (57,951)
INCOME TAX (128,000 + (101,069 × 30%)) = (158,320.7)
NHIF 4% ..............
TALGWU/CWT 5% ..............
HAPO UTAONA JINSI MSHAHARA UTAVYOKATWA PAKUBWA ZAIDI.
NB nimeashume tu haudaiwi HESLB, BENKI wala SACCOS yoyote. Na hizo % za NHIF na CWT na vyama vya wafanayakazi sina uhakika kama zinafanana.
Utajionea mwenyewe jinsi hiyo 23.3% itakavyoenda kukupasua.