Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Uliwaambia ukweli, Ila wengi akili hawana.
 
🤣🤣🤣🤣
 
Wewe akili zipo likizo.hiyo ajira ulipataje?
 
Ndio.maana watu wanasema walimu hamna akili.
Usigeneralize mzee, walioingia kichwa kichwa hilo ni wao ila binafsi nilikataa tangu mwanzo kwamba tutakuja kulia na ndicho kilichotokea watu walikuwa na expections kubwa tofauti na uhalisia
 
Ninachotamani ni kumuuliza mh. Rais, je walikuhusisha kwenye hiki kikokotoo na wewe ukaridhia? Maana hii ilikuwa ni ahadi yako. Iweje watu watoke huko wachafue maelekezo yako?

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…