Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Meanwhile fuel price per gallon in USA today.Tokea usiku wa kuamkia leo Watanzania wamevalia njuga suala la kupanda kwa bei za mafuta huku lawama zote wakizielekeza kwa Rais Samia.
Binafsi nawasihii ndugu zangu tupunguze lawama kwa Rais huku tukikumbuka hapendi kukunwa kwa papara kama alivyotueleza.
Samia akunwe kwa staha na yeye atapulizia kuno lile.
Kwahiyo wewe tukuparue sio au nawe hutaki kuparuliwa.Tokea usiku wa kuamkia leo Watanzania wamevalia njuga suala la kupanda kwa bei za mafuta huku lawama zote wakizielekeza kwa Rais Samia.
Binafsi nawasihii ndugu zangu tupunguze lawama kwa Rais huku tukikumbuka hapendi kukunwa kwa papara kama alivyotueleza.
Samia akunwe kwa staha na yeye atapulizia kuno lile.
Muulize mkunwaji atakaye kukunwa taratiiibu huku akipulizia ki utamuKwahiyo wewe tukuparue sio au nawe hutaki kuparuliwa.
Sekta ya Mafuta Ina ujanja ujanja mwingi maana ndio ina hela nyingi kila mtu anatumia kuna magenge na hapo ndio mhimu idara zetu saidieni nchi hii...Msikae tu ndio mana ya Idara kuwepo tunakua na intelijensia ya uchumi kuzuia mianya ya kuumiza wananchi wengi je mnafanya nn kusaidia?? Mnachunguza kujua ni wapi ulipo mwanya wa kupata mafuta nafuu au kuzuia bei kwenda juu kama ni ujanja ujanja? Kushauri kupunguza matozo sehemu flani...
Russia kwa sasa wanauza mafuta bei rahidi ili yasiwadodee baada ya kususwa na west. India na China wanayachangamkia. Ni vizuri na zisi tupige hesabu gharama ya kuyasafirisha toka Russia hadi Tanzania na tujumlishe na bei ya ununuzi, tukiona ni nafuu kuliko tunakonunua sasa basi na sisi tuyachangamkie. Tusijali wala kuogopa kelele za nchi za magharibi.Tokea usiku wa kuamkia leo Watanzania wamevalia njuga suala la kupanda kwa bei za mafuta huku lawama zote wakizielekeza kwa Rais Samia.
Binafsi nawasihii ndugu zangu tupunguze lawama kwa Rais huku tukikumbuka hapendi kukunwa kwa papara kama alivyotueleza.
Samia akunwe kwa staha na yeye atapulizia kuno lile.
Hata bure,mweeeTokea usiku wa kuamkia leo Watanzania wamevalia njuga suala la kupanda kwa bei za mafuta huku lawama zote wakizielekeza kwa Rais Samia.
Binafsi nawasihii ndugu zangu tupunguze lawama kwa Rais huku tukikumbuka hapendi kukunwa kwa papara kama alivyotueleza.
Samia akunwe kwa staha na yeye atapulizia kuno lile.
Tunataka rais atoke bara tumechoka na watu wasiokuwa wazalendo.Tokea usiku wa kuamkia leo Watanzania wamevalia njuga suala la kupanda kwa bei za mafuta huku lawama zote wakizielekeza kwa Rais Samia.
Binafsi nawasihii ndugu zangu tupunguze lawama kwa Rais huku tukikumbuka hapendi kukunwa kwa papara kama alivyotueleza.
Samia akunwe kwa staha na yeye atapulizia kuno lile.
Sekta ya Mafuta Ina ujanja ujanja mwingi maana ndio ina hela nyingi kila mtu anatumia kuna magenge na hapo ndio mhimu idara zetu saidieni nchi hii...Msikae tu ndio mana ya Idara kuwepo tunakua na intelijensia ya uchumi kuzuia mianya ya kuumiza wananchi wengi je mnafanya nn kusaidia?? Mnachunguza kujua ni wapi ulipo mwanya wa kupata mafuta nafuu au kuzuia bei kwenda juu kama ni ujanja ujanja? Kushauri kupunguza matozo sehemu flani...
Ndiyo.AKUNWE?
Bora tubadilishane huku aje Mwinyi yeye arudi ZanzibarBibi yenu huyu watz tutajuta
Natamani nimkune kwa kweliTokea usiku wa kuamkia leo Watanzania wamevalia njuga suala la kupanda kwa bei za mafuta huku lawama zote wakizielekeza kwa Rais Samia.
Binafsi nawasihii ndugu zangu tupunguze lawama kwa Rais huku tukikumbuka hapendi kukunwa kwa papara kama alivyotueleza.
Samia akunwe kwa staha na yeye atapulizia kuno lile.