Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Tokea usiku wa kuamkia leo Watanzania wamevalia njuga suala la kupanda kwa bei za mafuta huku lawama zote wakizielekeza kwa Rais Samia.
Binafsi nawasihii ndugu zangu tupunguze lawama kwa Rais huku tukikumbuka hapendi kukunwa kwa papara kama alivyotueleza.
Samia akunwe kwa staha na yeye atapulizia kuno lile.
Binafsi nawasihii ndugu zangu tupunguze lawama kwa Rais huku tukikumbuka hapendi kukunwa kwa papara kama alivyotueleza.
Samia akunwe kwa staha na yeye atapulizia kuno lile.