Rais Samia akutana na Mama Maria Nyerere

Kwetu North Korea huyu mama anafaa kuwa mkuu wa kitengo wa uhamashishaji na propaganda si Rais ambae amebeba taifa mabegani kwake.
North Korea mmejawa na mfumo dume na mna kazi kweli kweli ya kuja kupata maendeleo.
 
List imeishia hapo...? wacha kukurupuka wewe, Maria nyerere unamuacha wapi..? Muro, tapeli sabaya wanakuwa ma DC unamuacha makongoro ni ujinga wa hali ya juu

Pokea hii kama haujajuwa umekwandika nini..πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
 
Huyu mama CCM tutampitisha agombee 2025. Mana anatufaa na anawafaa wananchi.
 
Hao vijana wake wanasifika Kwa kulevuka basi waache pombe zao wapige kazi
 
hicho alikalia bibi ndio KIGODA CHA MWALIMU??huwa nasikia naomba kueleweshwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…