Rais Samia akutana na Mama Maria Nyerere

Rais Samia akutana na Mama Maria Nyerere

Mwendazake hakuwa na busara kwakweli, kama aliwasahau waliomuweka madarakani ni nonsense....
Mmmh.. wewe hujui vizuri.

Nani alimuweka Makongoro kwenye CC ya CCM?

Hata hivyo kupeana vyeo kwa mtindo huu sio vizuri. Huyu anatakiwa astaafu na kulea wajukuu. Hizi kazi wangepata wa TZ wengine.. hata mwanae basi angepewa.
 
Mako aache pombe sasa apige kazi. Mama amkumbuke pia Madaraka, yupo vizuri sana kuliko Mako!
Mako ni kipenzi cha mama- wa mama wapenda sana watoto watukutu hasa walev------
 
Wafanye kazi kama watoto wa wakulima wengine wasingojee kuhurumiwa na kupewa vyeo kwa migongo ya baba zao!!
Ila yule shetani naye aliwapotezea sana hawa wadau! Wacha nao wale keki ya Taifa uzeeni!
 
Ila yule shetani naye aliwapotezea sana hawa wadau! Wacha nao wale keki ya Taifa uzeeni!
Aliwapotezea kwa vipi wakati ukoo wote wa Nyerere mpaka vitukuu wanalishwa na serikali kupitia mgongo wa mama Maria? Juu ya hayo Mke wa Makongoro alikuwa Jaji wa Mahakama kuu mpaka amestaafu!!! Ulitaka wabebejwe?
 
Aliwapotezea kwa vipi wakati ukoo wote wa Nyerere mpaka vitukuu wanalishwa na serikali kupitia mgongo wa mama Maria? Juu ya hayo Mke wa Makongoro alikuwa Jaji wa Mahakama kuu mpaka amestaafu!!! Ulitaka wabebejwe?
Mako huyo hapo sasa mkuu wa mkoa! Ndiyo nilitaka hivyo! Shetani akawazima mpaka kwenye kura za maoni!
 
Asipoacha ulevi atafukuzwa; inambidi abadilike tabia kwani URC sio sawa na kuwa mbunge!!
Kwani unafikiri Makongoro Nyerere hawrzi kuishi bila ukuu wa mkoa ?

Mtu ana miaka 60 unadhani unaweza kumbadili tabia?
 
IMG_20210520_083721.jpg
 
Back
Top Bottom